AI BRAINFULL
JF-Expert Member
- Oct 31, 2019
- 1,820
- 4,657
Utasikia njoo dm kwa maelezo zaidi,garama zetu ni nafuu sana,njoo dm nikutajie bei,tupigie tukuelekeze( hizi ni njia za kuwatapeli watu maana kila mtu akienda dm atatajiwa bei yake na atachekechwa kivyake,bei nafuu huku bei sahihi au yamwanzo haijulikani)