Bongo bwana matangazo yamekaa kitapeli sana

Bongo bwana matangazo yamekaa kitapeli sana

AI BRAINFULL

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2019
Posts
1,820
Reaction score
4,657
Utasikia njoo dm kwa maelezo zaidi,garama zetu ni nafuu sana,njoo dm nikutajie bei,tupigie tukuelekeze( hizi ni njia za kuwatapeli watu maana kila mtu akienda dm atatajiwa bei yake na atachekechwa kivyake,bei nafuu huku bei sahihi au yamwanzo haijulikani)
 
Utasikia njoo dm kwa maelezo zaidi,garama zetu ni nafuu sana,njoo dm nikutajie bei,tupigie tukuelekeze( hizi ni njia za kuwatapeli watu maana kila mtu akienda dm atatajiwa bei yake na atachekechwa kivyake,bei nafuu huku bei sahihi au yamwanzo haijulikani)
Hahaha
 
Utasikia mtu anajisifu ''Sisi ndio mabingwa wa kuchimba visima''

Unajiuliza hivi haya mashindano yallifanyika wapi na lini mpaka hawa ndio wakawa mabingwa?
 
Utasikia njoo dm kwa maelezo zaidi,garama zetu ni nafuu sana,njoo dm nikutajie bei,tupigie tukuelekeze( hizi ni njia za kuwatapeli watu maana kila mtu akienda dm atatajiwa bei yake na atachekechwa kivyake,bei nafuu huku bei sahihi au yamwanzo haijulikani)
Wajinga ndio waliwao siku zote!
 
Back
Top Bottom