Kwa kweli kipindi cha Power Breakfast maarufu kama "Bonge" kinafurahisha sana hasa jinsi Bonge anavyomaliza kipindi chake yaani misemo fulani, mfano leo eti kamalizaje "Umaskini kama ni ugonjwa, basi tungekufa wengi" yaani inachekesha sana na kufundisha, hebu tujikumbushe na misemo mingine tunayoikumbuka aliyowahi kurusha Bonge
Nawashukuru sana wote
Nawashukuru sana wote