duh!! kwa wale wapiga mitungi wachotaji wa mademu usiku club inakua vipi unaamka asubuhi unakuta huo mzigo umelala pembeni yako uliuchota night ukiwa stimu kali sana...
yaani hapa mtu kama ni mshirikana atakimbilia kwa mganga kama ni mcha Mungu kanisani au msikitini
no comment...
Cha kushangaza dude kama hili lina weza kua tamu balaaah!