Ukienda Sweden kumejengwa Makumbusho maalum kwa ajili ya kundi hili, ABBA THE MUSEUM. Kwa kifupi hili ni kundi la kusikitisha kuliko tamba duniani kuanzia miaka yakati sabini mpaka ya Manzoni tisini pale lilipo vunjika. Wapenzi wa kundi hili wamekua wakihifadhi nyimbo za ABBA na kuwarithisha watoto wao huko Sweden na Ulaya. Katika shule na vyuo kadhaa kuna club za ABBA zinazo kuwa na bendi kwa ajili ya kuimba nyimbo za ABBA. Kuvunjika kwa kundi hili kulitikisa Bara mzima la Ulaya na America.ABBA ni kundi kuliko undwa na waimbaji Wanne, wanawake wawili na Wanaume wawili. Kama ulikua haujui basi tmbua kuwa Waimbaji wa kundi hili walikua wameoana wao kwa wao, yaani kila Mwanaume alio mwanamke mmoja ndani ya kundi na jina ABBA ni linaundwa na herufi za majibu yao, Anifida, Bjorn,Ben Anderson na Agnetha. Wimbo Chiquitita ni moja Kati ya nyimbo nyingi za ABBA. Ukiamua kujipa muda wa kusikiliza nyimbo za ABBA basi ni kama unaingia sayari mpya ya burudani na ni Nyimbo za kulevya. Mifarakano ya ndoa ndio ilipelekea kuvunjika kwa kundi hili. Moja Kati ya visa vya kukumbukwa ni pale Mwanaume Bjorn alitinga wimbo wa kumnanga mtaraka wake na akampa huyo huyo mwanamke auimbe, yaani ajiimbe mwenyewe.Wimbo inabidi mambo ya kuachana, jina la wimbo ni, A winner takes it all. Baada ya kuhojiwa alisema alitunga akiwa amelewa.
Hizi ni baadhi ya nyimbo za ABBA unaweza zipata YouTube.
1.Chiquitita
2.Mama Mia
3.I have a dream
4.Fernando
5.Andante andante
5.Dancing queen
6.Knowing me knowing you
7.Voulevou
8.Eangle
9.One of us
10.Super toupee
11.Winner takes all
12. Take chance of me.
Wote hawa bado wapo hai ingawa sasa wamezeeka sana. Ukifanikiwa kufika Stockholm Jitahidi kutembelea ABBA THE MUSEUM.
Asante kwa Mada hii
Sent using
Jamii Forums mobile app