Evelyn Salt
Platinum Member
- Jan 5, 2012
- 77,670
- 167,725
mi nilivoanza kusoma nikadhani bondita ni kinywajiYaan mi ndo sielewi kabisa nasikia bondita bondita[emoji3][emoji3][emoji3]
mi nilivoanza kusoma nikadhani bondita ni kinywajiYaan mi ndo sielewi kabisa nasikia bondita bondita[emoji3][emoji3][emoji3]
mi nilivoanza kusoma nikadhani bondita ni kinywaji
Sticker zake zinauzika balaa na hao watoto ndo wateja wakubwa. Chukua hiyoSiipendi BONDITA,
Ila mwanangu mmoja wa kike, ambae mwaka huu anasoma darasa la nne, anaipenda Sana! Katu hapendi kuikosa!
Kauli za BONDITA, "mume waangu, mume waangu!" Zinanitia hofu kuharibu saikolojia ya mwanangu!
"Mume waangu" Ni kauli mzito kutamkwa na watoto!
BONDITA anakwenda kuwafundisha watoto kuwa "MUME" ni neno la kawaida, linatamkwa hata na watoto wadogo!
BONDITA haitawaacha watoto wetu salama! Tuendelee kupuuza na kufurahia!
Siku zote jamii inaharibiwa na mwanamke.Samahani
Ila Bondita nitamthilia nzuri sana
mimi nilikuwa naitazama kwenye colors ipo
mbele zaidi halafu hawa azam wanatafsiri vibaya sijui kwa sababu ni kiswahili kigumu ila kwenye colors wanaongea kihindi wanaweka subtitle ya English
Ni huyo Bondita huko kwenye colors haiti neno Mume wangu kuna jina analitamkaa ambapo kiingereza chake ni neno SIR
Sema nini hayo mambo ni kawaidaa kwa sababu ya utandawazi unaweza kuzuia mtoto asitazame michezo ya tamthilia lakini akaenda shule akakutana na wenzie wakamfundishaa vya ajabu zaidi
Waombeeni watoto zaidii Msiwaachie akina mama jukumu la kuombea familia ni la wazazi wote wawili
[emoji3][emoji3][emoji3] Bondita ni tamu buanaaa pole baba[emoji1787][emoji1787]
nipo llive naangalia bonditaSiipendi BONDITA,
Ila mwanangu mmoja wa kike, ambae mwaka huu anasoma darasa la nne, anaipenda Sana! Katu hapendi kuikosa!
Kauli za BONDITA, "mume waangu, mume waangu!" Zinanitia hofu kuharibu saikolojia ya mwanangu!
"Mume waangu" Ni kauli mzito kutamkwa na watoto!
BONDITA anakwenda kuwafundisha watoto kuwa "MUME" ni neno la kawaida, linatamkwa hata na watoto wadogo!
BONDITA haitawaacha watoto wetu salama! Tuendelee kupuuza na kufurahia!
Kuna kitu kinaitwa localization, unapotafsiri kitu hutumii word to word translation bali unatumia maneno ambayo ni rahisi kueleweka kwa uliowalenga, mfano mtu anasema utakuwa msanii maarufu kama jay patel, unakuta jay patel ni msanii wa kihindi wabongo hawamjui, so kwenye localization itabidi useme utakuwa msanii maarufu kama diamond.Samahani
Ila Bondita nitamthilia nzuri sana
mimi nilikuwa naitazama kwenye colors ipo
mbele zaidi halafu hawa azam wanatafsiri vibaya sijui kwa sababu ni kiswahili kigumu ila kwenye colors wanaongea kihindi wanaweka subtitle ya English
Ni huyo Bondita huko kwenye colors haiti neno Mume wangu kuna jina analitamkaa ambapo kiingereza chake ni neno SIR
Sema nini hayo mambo ni kawaidaa kwa sababu ya utandawazi unaweza kuzuia mtoto asitazame michezo ya tamthilia lakini akaenda shule akakutana na wenzie wakamfundishaa vya ajabu zaidi
Waombeeni watoto zaidii Msiwaachie akina mama jukumu la kuombea familia ni la wazazi wote wawili
[emoji3][emoji3][emoji3] Bondita ni tamu buanaaa pole baba[emoji1787][emoji1787]
Ni tamthilia wanadai "mume wangu" ni nyingi sana kuliko maneno mengineBondita ndio nini???
Ni tamthilia yakihindi imetafsiriwa kwa kiswahili, star wa kike ni mtoto ndogo ameolewa na jamaa mkubwaHiyo bondita ndo kitu gani?nitoeni ushamba
Bodi ya filamu wanasemaje, au huko ilikotoka ipo kwenye kundi ganiSiipendi BONDITA,
Ila mwanangu mmoja wa kike, ambae mwaka huu anasoma darasa la nne, anaipenda Sana! Katu hapendi kuikosa!
Kauli za BONDITA, "mume waangu, mume waangu!" Zinanitia hofu kuharibu saikolojia ya mwanangu!
"Mume waangu" Ni kauli mzito kutamkwa na watoto!
BONDITA anakwenda kuwafundisha watoto kuwa "MUME" ni neno la kawaida, linatamkwa hata na watoto wadogo!
BONDITA haitawaacha watoto wetu salama! Tuendelee kupuuza na kufurahia!