Siipendi BONDITA,
Ila mwanangu mmoja wa kike, ambae mwaka huu anasoma darasa la nne, anaipenda Sana! Katu hapendi kuikosa!
Kauli za BONDITA, "mume waangu, mume waangu!" Zinanitia hofu kuharibu saikolojia ya mwanangu!
"Mume waangu" Ni kauli mzito kutamkwa na watoto!
BONDITA anakwenda kuwafundisha watoto kuwa "MUME" ni neno la kawaida, linatamkwa hata na watoto wadogo!
BONDITA haitawaacha watoto wetu salama! Tuendelee kupuuza na kufurahia!
Ila mwanangu mmoja wa kike, ambae mwaka huu anasoma darasa la nne, anaipenda Sana! Katu hapendi kuikosa!
Kauli za BONDITA, "mume waangu, mume waangu!" Zinanitia hofu kuharibu saikolojia ya mwanangu!
"Mume waangu" Ni kauli mzito kutamkwa na watoto!
BONDITA anakwenda kuwafundisha watoto kuwa "MUME" ni neno la kawaida, linatamkwa hata na watoto wadogo!
BONDITA haitawaacha watoto wetu salama! Tuendelee kupuuza na kufurahia!