Hongereni CHADEMA kwa kuzidi kuongeza nguvu katika kitengo cha usalama
Naona unatafuta BASHA, waliberali mwaka huu mtaumia sana kwa kutafuta mabasha.
Good news!
Buku saba fc acha kukurupuka mbona povu linakutoka hivi? Hata wewe ukijiunga utapata mapokezi makubwa ni suala la kujitambua tu.
Sio kosa lako, ulichokalia ndo kimekuondoa ufahamu..
Wakaribisheni wapigania tumbo waliokosa chansi ccm wakaona waje kwa wapiga dili wenzao.
Salama WanaJF.
Bondia maarufu nchi Mada Maugo almaarufu King Junior amejiunga na chama cha demokrasia na maendeleo Chadema.
Muda mfupi ujao atakabidhiwa kadi na mjumbe wa kamati kuu kamanda Wakili Mabere Marando.
Nitumie fursa hii kumkaribisha ndani ya Chadema King Junior ili tusaidiane kuendeleza mapambano dhidi ya mkoloni mweusi.
Peoples Power!
Salama WanaJF.
Bondia maarufu nchi Mada Maugo almaarufu King Junior amejiunga na chama cha demokrasia na maendeleo Chadema.
Muda mfupi ujao atakabidhiwa kadi na mjumbe wa kamati kuu kamanda Wakili Mabere Marando.
Nitumie fursa hii kumkaribisha ndani ya Chadema King Junior ili tusaidiane kuendeleza mapambano dhidi ya mkoloni mweusi.
Peoples Power!
mku aliwahi kuhusika na ugaidi?Yaani sasa ni rasmi kitengo cha ugaidi na sumu cha chama kimepata mwenyewe