Nyie cdm mnahangaika kweli? Who is Maugo? Mtu mmoja kujiunga na chama unapost. Hivi humo kichwani kumetimia? Lete maada za msingi humu.
Sishangaii huyu bondia si wa mkoa uleeeee
Khaa!! ni ndefu, The late Mangwair naye alikuwa na mpango huo, Juma nature, Dudubaya, Wema, Zulfa, ...., ni wengi sana. Siasa ni sanaa inayolipa kuliko sanaa nyingine zote. Hawa jamaa wako smart wanawahi deals za kampeni 2015. wako kikazi. Bajeti ya kampeni 2015 lazima iwe ndefu sana:heh:Na orodha ya walio mbioni kujiunga na chama letu ni ndefu mno! Stay tunned.
ni vyema sana watanzania wenye fani mbalimbali wajue kuwa wakati ule ambao walikuwa wakidanganywa na wanyonyaji weusi kuwa wasishiriki siasa umekwisha maana ilikuwa ni mbinu ya kuwaweka mbali wasijue nini waseme nani waseme naye na hata ikaleta uzito wa watu kufanya maamuzi ya msingi ndio maana hata dhana ya uwakilishi ilikuwepo na watu wa ajabu kama akina MWIGULU ,MAMA ANA ABDALLAH ,MAGEMBE NA MABOGA MAENGINEYO YA CCM sasa ndio angalau watu wa maana kama akinaSalama WanaJF.
Bondia maarufu nchi Mada Maugo almaarufu King Junior amejiunga na chama cha demokrasia na maendeleo Chadema.
Muda mfupi ujao atakabidhiwa kadi na mjumbe wa kamati kuu kamanda Wakili Mabere Marando.
Nitumie fursa hii kumkaribisha ndani ya Chadema King Junior ili tusaidiane kuendeleza mapambano dhidi ya mkoloni mweusi.
Peoples Power!
Salama WanaJF.
Bondia maarufu nchi Mada Maugo almaarufu King Junior amejiunga na chama cha demokrasia na maendeleo Chadema.
Muda mfupi ujao atakabidhiwa kadi na mjumbe wa kamati kuu kamanda Wakili Mabere Marando.
Nitumie fursa hii kumkaribisha ndani ya Chadema King Junior ili tusaidiane kuendeleza mapambano dhidi ya mkoloni mweusi.
Peoples Power!
Huu ni Mtizamo mzuri: Hivyo Waalimu, madaktari, wakulima, wafanyakazi, wafugaji, na wafanyabiashara acheni migomo isiyo na tija jiungeni na CHADEMA tujipange pamoja na kulikomboa taifa.