Bondia Mada Maugo Ajiunga na CHADEMA leo Tarehe 08/06/2013

Bondia Mada Maugo Ajiunga na CHADEMA leo Tarehe 08/06/2013

Safi sana Kapteni Komba alikuwa najifanya bondia bungeni sasa tumemletea King Juniour!
 
duh sasa mbona wote wanaenda chadema? wanatuachia ccm yetu na nani?siamini kama ndio inakufa siriazly
 
karibu sana maugo, najua utakua bondia mzur ktk kupgania haki ndan ya chama kwa maendeleo ya nch ye2
 
Amechagua kilicho bora hongera zake na anakaribishwa sana!
 
Hongereni CHADEMA kwa kuzidi kuongeza nguvu katika kitengo cha usalama
 
Nyie cdm mnahangaika kweli? Who is Maugo? Mtu mmoja kujiunga na chama unapost. Hivi humo kichwani kumetimia? Lete maada za msingi humu.
 
Naona Lile tangazo la watu wawahi mapema lina fanya kazi, Bado sijasikia TMK(Nature) wacha ile ya Muuza madawa na MAJITA wapo wapi!
 
Wakaribisheni wapigania tumbo waliokosa chansi ccm wakaona waje kwa wapiga dili wenzao.
 
maswaswa; Mbona unakuwa kama unawashwa Madam/Sir kwani tatizo liko wapi, Maugo Jr amepima hali halisi na kuona chama safi kisera na malengo ya kumkomboa Mtanzania wa hali kama yake ni CHADEMA sasa wewe mapovu yanatoka wapi? CCM kinapendwa na mafisadi, watoto wao,ndugu zao au wale wasiojitambua!

Anakomboaje wakati mwenyewe ameshindwa kujikomboa.Ni jamvo lahisi kutamka lkn ukamanisha kitu kingine kabisa.wengi wangetamani kuwa wakombozi,sasa walinganishe na Kambalage.
 
Last edited by a moderator:
Nyie cdm mnahangaika kweli? Who is Maugo? Mtu mmoja kujiunga na chama unapost. Hivi humo kichwani kumetimia? Lete maada za msingi humu.

Buku saba fc acha kukurupuka mbona povu linakutoka hivi? Hata wewe ukijiunga utapata mapokezi makubwa ni suala la kujitambua tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom