Ni ujinga!!! Form one wanafundisha nn?? Angalia mtaala anoataka masomo atakayosoma, historia za mkwawa,? define density,? types of rainfall,? importance of mashroom? Na mengine mengi ya type hiyo. Huyu angetafuta college akapiga certificate course flan specific mfano biashara n.k maana cheka ni mtu mzima amezunguka sehem nyingi na anajua mambo mengi elimu yake "practically " ni kubwa kuliko hata form four Leaver .. watanzania tubadilike Kwa hili jamani ...... " mtazamo tu "