Usawa wa ujazo wa kifusi ndio level ya mtera ya jangwani.Madhara yake ni makubwa!!!
Kampuni ya Strabag kwa mwendo huu! Unatuhakikishia kuwa hata tungekupa uweke sawa bonde la Jangwani litumike kwa ajili ya makazi kazi hiyo ungeweza.kazi anaifanya kujaza na kulisawazisha bonde hilo na kuonekana hakuna bonde
Subiri mvua zileee, za kipindi kileee!!!
Yote inakuwa mtera. Sasa siju mitambo ya umeme tuiweke wapi naibu sipika.mdau afadhal umeliona hilo,,,,sasa ndo maji yataenda KARIAKOOO HADI MAGOMEN,,,,HUKO KIGOGO NDO USISEME
Na kuhakikishia kuwa ukibahatika kutembelea vijiwe wa wauza kahawa vyote nchi huwezi kukosa kauli hii ..."Kafara ya kutoa uhai wa watanzania haijatosha... ndio maana mtengo mwingeni umetegwa bode la Jangwani Dar... la kutoa roho za watanzania wakati wa mvua za masika..."mvua ikinyesha ndo utajua maji yanaenda wapi,,,,unadhan suluhu imepatikana????impakt yake itakua kubwa sana mdau
JF raha sana. Kila mtu ni MTAALAM wa FANI ZOTE. Kila mtu anakosoa kila kitu 'kitaalam'.
Watanzania kwa porojo na majungu ndio maana mambo yetu tunayaanzisha wenyewe siku zote hayafanikiwi...hivi mnajua Strabag wanafanya nini kwenye huo mradi mnadhani Wajerumani wana akili za nywele kama sisi wanachofanya sasa wanajenga madaraja na njia za kupitisha maji kwenda baharini.
Inashangaza sana mtu anatoka kwake Tandale au Kimara naye anajifanya mtaalam wa uhandisi analeta mawazo yake, hawa Strabag wamefanya project nyingi dunia sio makanjanja angalia kwanza vifaa vyao bado vipya ndio vinaanza project Tanzania.
Engineer wa kijerumani wapo pale wanafanya kazi sio porojo ngoja mradi uishie muone jangwani mpya yenye njia nyingi za kupitisha maji.
Watanzania kwa porojo na majungu ndio maana mambo yetu tunayaanzisha wenyewe siku zote hayafanikiwi...hivi mnajua Strabag wanafanya nini kwenye huo mradi mnadhani Wajerumani wana akili za nywele kama sisi wanachofanya sasa wanajenga madaraja na njia za kupitisha maji kwenda baharini.
Inashangaza sana mtu anatoka kwake Tandale au Kimara naye anajifanya mtaalam wa uhandisi analeta mawazo yake, hawa Strabag wamefanya project nyingi duniani sio makanjanja angalia kwanza vifaa vyao bado vipya ndio vinaanza project Tanzania.
Engineer wa kijerumani wapo pale wanafanya kazi sio porojo ngoja mradi uishie muone jangwani mpya yenye njia nyingi za kupitisha maji watu wanajenga airport baharini jangwani kitu.
Kampuni ya Strabag kwa mwendo huu! Unatuhakikishia kuwa hata tungekupa uweke sawa bonde la Jangwani litumike kwa ajili ya makazi kazi hiyo ungeweza.kazi anaifanya kujaza na kulisawazisha bonde hilo na kuonekana hakuna bonde