shansarie
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 5,690
- 3,370
Ilikuwa ni furaha ya ajabu kuwa na mpenzi , honey wangu ,sabuni ya roho
na meneja wangu mkubwa kiwatengu katika kipindi kigumu cha shindano la umiss chit chat
alikuwa msaada mkubwa sana na nguvu kubwa kwangu kidogo tumpe kisuger Arushaone na Lady doctor.
Sasa amemaliza muda wa mapumziko anarudi kwenye majukumu yake ya kila siku huko ilikogundulika gesi.
Napenda nimtakie safari njema na yenye mafanikio tele.
nb*Bila kumsahau mama mkwe Mamndenyi na shemeji yangu Baba V kushirikiana na kiwatengu
kuunda jeshi la watu watatu asanteni sana kwa kujitoa
TUSHIRIKIANE WOTE KUMTAKIA kiwatengu safari njema
na meneja wangu mkubwa kiwatengu katika kipindi kigumu cha shindano la umiss chit chat
alikuwa msaada mkubwa sana na nguvu kubwa kwangu kidogo tumpe kisuger Arushaone na Lady doctor.
Sasa amemaliza muda wa mapumziko anarudi kwenye majukumu yake ya kila siku huko ilikogundulika gesi.
Napenda nimtakie safari njema na yenye mafanikio tele.
nb*Bila kumsahau mama mkwe Mamndenyi na shemeji yangu Baba V kushirikiana na kiwatengu
kuunda jeshi la watu watatu asanteni sana kwa kujitoa
TUSHIRIKIANE WOTE KUMTAKIA kiwatengu safari njema
may god be with you love you sana
Last edited by a moderator: