Asante sana!!
heshima mbele..
nilimuhitaji sana Heaven on Earth katika mambo yetu! hapo mngeshaa zaidi..
baby! afu ujue kweli, tungefanya kwa nguvu zote mh! aisee sisi wakali eti! kumbuka alhamis(send off) na jumamosi(harusi).
Hizo siku sijafanya kampeni kabisa.
Afu kumbuka tena wewe ulikuwa kwenye party j.pili haukufanya kivile!!
We kumbuka tu
Sisi ni wakali zaidi yenu Mzee!!
kiwatengu bon voyageAsante sana!!
heshima mbele..
nilimuhitaji sana Heaven on Earth katika mambo yetu! hapo mngeshaa zaidi..
hahahaaa team yangu ilikuwa si ya kitoto atii hata ungemtoa mmoja isinge saidia kitu still tungewagalagaza tu, japokuwa mlijishaua kuwakatisha tamaa na maneno mbovumbovu hahahaaa
wapi Mamndenyi, ulijitahidi mamaa lakini wapi!!!!!!!!!!!
hahahaaa team yangu ilikuwa si ya kitoto atii hata ungemtoa mmoja isinge saidia kitu still tungewagalagaza tu, japokuwa mlijishaua kuwakatisha tamaa na maneno mbovumbovu hahahaaa
wapi Mamndenyi, ulijitahidi mamaa lakini wapi!!!!!!!!!!!
wii ko umeshashinda au mi habari imenipita
wii we tusheherekee ushindi mambo yameshajitiki yenyewe
Thank you darling..
Nafurahi kusikia kuwa umeridhishwa na huduma niliyokupatia..
Kuhusu shindano! Aisee hongera sana mpenzi wangu, we ni mwanamke imara na jasiri kweli kweli!!
Sijui kina watu8 walitumia technique gani kutuover take at last..(i guess ni the use of multiple ID's)
makamanda wa ukweli Mamndenyi and Baba V! Asanteni sana kwa big support yenu mliotupa..
Nawashukuru pia wadau waliokuwa wakitupa moyo na kutujengea hamasa zaidi!
Kiranga, chama, ZeMarcopolo, masopakyindi, mwallu, na wengine pamoja na wale wa support za kutoka ndani ya mioyo yao.
Naamini team yetu ndiyo ilikuwa team pendwa!!
Mbarikiwe wote!!
Narudi nyumbani sasa...kwetu kusini.
safari njema kiwatengu
mpambano naona ulikua mkali sana asee
Nataka mtungi mkubwa wa gesi tani moja, nitapata mkuu?