japhetusangi
Member
- Nov 13, 2014
- 77
- 41
Hii kitu mbona leo imechelewa jamanii, alosto sio kabisa hii
Hahahaha hatakuruhusu umkoseshe watejaHivi vitu vya Bure ni shida sana.
Six man, Hebu njoo tuongee Biashara ili niirushe Yote hapa baada ya kuinuunua kwako.
Mimi pia nimewaza kama wewe..kitu kina kata patamuHivi vitu vya Bure ni shida sana.
Six man, Hebu njoo tuongee Biashara ili niirushe Yote hapa baada ya kuinuunua kwako.
tuma baba tumaNimetuma muamala chief Kwa kupitia Tigo then whatsup natumia HALOTEl na nimekutaarifu
Embu njoo nyumban harakaAisee iko poa balaa hutojutiia kuipata story hii
Naash Nash