Bomu la askofu Gwajima laisambaratisha CCM

Bomu la askofu Gwajima laisambaratisha CCM

katika kipindi cha uhai wangu hapa tanzania hajawahi tokea askofu jasiri kama gwajima sio mnafiki analinda maslah ya umma sio ya kanisa lake tu
 
JF Member

Auwaye kwa upanga naye hufa kwa upanga haya ni maandishi yako kwenye biblia. Alieanzisha mambo haya ni CCM kwa kumtumia dr slaa na akamutaja mhusika kwa jina na mhusika pia akaitika, sasa ubaya uko wapi hapo ? !!
 
Last edited by a moderator:
Gwajima nithunami yawasio penda mabadiliko nchihii haoma ccm kwishiliambali
 
JF Member

Auwaye kwa upanga naye hufa kwa upanga haya ni maandishi yako kwenye biblia. Alieanzisha mambo haya ni CCM kwa kumtumia dr slaa na akamutaja mhusika kwa jina na mhusika pia akaitika, sasa ubaya uko wapi hapo ? !!
 
Last edited by a moderator:
JF Member

Mkuu naomba unipe ilimu! kilr kitendo cha Yohana Mbatizaji kwenda kukemea uzinzi wa mfalme, ni siasa au seen!?
 
Last edited by a moderator:
Tokea askofu gwajima aongee na waandishi wa habari sijamsikia tena slaa wengine wanasema amekimbilia marekani, hapa jf sijaona watu wakimsapoti tena slaa na kuishambulia cdm ukweli umejulikana,maisha ya kisiasa ya slaa yamekuwa kama mshumaa uliozima ghafla.kama angechagua kukaa kimya angebaki na heshima kubwa lakini ameamua kuchagua aibu
 
Asante Sana Mshenga
Umefunga midomo ya wale
walodai Na kusema Dr Bunduki
ameondoka sababu yaRais Lowasssa
kuja ukawa

Imedhiirika ameondoka mwenyewe
 
CCM isambaratishwe na Gwajima wakati Nyapala Mwenyewe Kashindwa kuisambaratisha
 
JF Member

Gwajima alitoa msimamo wake binafsi hadharani, hatutaki unafiki na utawala dume usiokuwa na huruma.
Kumbuka mlimtuma Dr Silaa kumtusi Ask Gwajima sasa amejibu hoja imewagusa mpaka mnakosa pa kuanzia.
Bado mna fursa endeleeni kuwanunua wapinzani watakaokashifu kanisa na watumishi wa Mungu, ila kamwe siyo waislam, never, ever!
 
Last edited by a moderator:
Gwajima ni Upanga mkali kwa mafisiemu dharimu.Nasema amani haitavunjika mpaka pale haki itakapokosekana.Kwa kuwa haki haombwi,ukizuiwa tutaidai kwa nguvu.Watu kama Le mutuz ambao hawajui kama mitandao ina nguvu wasije wakaomba poooh!
 
CCM are dying horse which kicks most prior to death. mwaka huu magamba lazima watafute vichaka vya kujificha.

...after butcher's sword (UKAWA) has passed through the wind pipe
 
Kwa mtizamo wangu, sizani kama ni jambo la maana kuendeleakuwatumia viongozi wetu wa dini kwenye mambo ya Siasa, Kufanya hivi ni kujaribu kuweka jambo lasiasa kweny mambo ya dini.
Kumbuka Siasa ni jambo la mda tu tena ni jambola mpito lakini imani zetu za dini hudumu kizazi hadi kizazi.
Kufanya hivyo kunaweza kuleta utofauti kati yaGwajima na wafuasi wake hasa wale wanachama wa chama cha mapinduzi na wafuasiwa magufuli kwa kipindi hiki. Vingozi wetu wa dini tunaomba wajikite kwenyemalengo yao hapa duniani.
Tufanye siasa za siasa na tuachane na siasa zadini. Mungu ibariki Tanzania. Mungu tupe kiongozi bora hapo october 2015!Tudumushe udugu wetu.
Gwajima ametumiwaje?Dr.Slaa alisemaje kuhusu Gwajima?Gwajima kaja kujibu yake ya kuitwa Mshenga?acha kuwa bias
 
Back
Top Bottom