Mwandishi na wafuasi wake wote mnahitaji uponyaji wa fikra na fahamu ili muweze kujariwa utambuzi wa alama za nyakati kuwa EL hawezi na hatokuwa raisi wa nchi hii ya Tanzania. Watanzania wengi hasa wapiga kura halisi bado wana imani na chama chao. Huu ni mwaka wa masikitiko makubwa kwa jamii ya vijana waliokubari kudanganywa na wanasiasi wapiga dili.