Bomu Arusha - Vatican yawasilisha taarifa UN

Bomu Arusha - Vatican yawasilisha taarifa UN

Status
Not open for further replies.
Kadogoo, unahitaji kufunguliwa macho kwa sababu huoni na hujui kama hujui unachokiongea.
1. Aliyerusha bomu alishuka kwenye gari kavaa kanzu, policcm wakamkamata dereva wa bodaboda na kumtwisha kesi.
2. Mhariri Kibanda katolewa kucha na wahusika kesi katupiwa Lwakatare, wakati muandaaji wa tuhuma, mwigulu yupo uraiani anazurura tu, na watu kama wewe bado wanawasikiliza policcm. Mahakama kuu imetupilia mbali hayo madai, policcma wako kimya hawana la kusema.
3. Ulimboka katendwa na policcma na kawataja kwa majina na mmoja alikimbizwa na wananchi muhimbili na kuoneshwa live kwenye Tv, policcma hawamchukulia hatua yoyote!
4. Policcm walimtupia mkenya kesi ya Ulimboka, ubalozi wa Kenya walipomuulizia mtu wao, policcma wamekaa kimya.
5. muongo kawadhalilisha wanafunzi IAA, kesi anafunguliwa mbunge wa CDM
6. Ilitolewa CD inayoonesha mkutano wa kukuza chuki na udini Udom, je? policcm wamemshtaki nani mpaka sasa¬?
7. Soma na hii ripoti hapa chini halafu endelea kukosoa wanaofuatilia maswala muhimu ya kimataifa ...
Subject: U.S. Embassy Dar Es Salaam: Message to U.S. Citizens- Recent Incidents
May 24, 2012:

Crime continues to plague everyone--expatriates and Tanzanians, permanent residents, and visitors. Criminal activity takes place during the day but even more under cover of darkness.

Recent Incidents Reported to the U.S. Embassy:

On Sunday, May 20 around 1030 four men including two in brown police uniforms with polisi emblems approached a motorist who parked near the Sea Cliff Hotel. The men were in a small silver vehicle with a spare tire mounted at the rear. The men started to exit their vehicle but their uniforms didn't appear quite legitimate. The motorist/pedestrian moved away to a more visible public space and the men got back in their car and sped away.

On Saturday, May 19, around 0200, six assailants overpowered a guard at an American residence on Mwaya Street near Funky's. The guard was bound and gagged before he could hit his panic button. Some of the gang cut screens on the porch, others worked on a door. They slid open one door but couldn't defeat a bar lock to gain entry to the house. Others hammered and pried at another grill. The banging on the bars awakened the residents who hit their panic button. This alerted the Knight Support mobile patrol to respond. Meanwhile the residents locked themselves into their safe haven and yelled at the assailants. The assailants didn't care and didn't depart until the mobile patrol arrived and then they all disappeared. (Do you have a panic button? Does it work? )

On Friday, May 18,2012 at 2230 three individuals reportedly dressed in police uniforms gained entrance to a property on Haile Selassie. The three were accompanied by another ten or twelve men who tied up three guards. Then they scaled the wall and invaded the neighboring property which seems to have been their intended target. They chased down a guard, tied, gagged, beat, and stripped him, dumping him in a garbage bin. Simultaneously other assailants broke down an office door, armed with pangas and hatchets. An office worker hit the panic button and Knight Support mobile patrols responded. However, several laptops, cell phones, money and other items were stolen.

Usiwe na negative mentality kwenye maswala yanayohitaji ufuatiliaji na utekelezaji wa haraka kwa usalama wa nchi hasa kwenye maswala ya kimataifa. Tanzania ni nchi, siyo kitongoji kwamba ishu kama hizi zipuuzwe tu bila utekelezaji wowote.

Open your eyes and think critically in such times as these. Haya mambo yana affect amani ya nchi, uchumi, maendeleo, mshikamano, uelewano, n.k.

Hongera sana kwa Knight Support kwani wanafanya kazi kubwa sana sio hawa polisi wa Nchimbi, ukiwaita kwenye tukio wanakuuliza kama utawasaidia Pesa ya Diesel. Kwa hili la Arusha kweli siwaelewi hawa polisi yaani wanataka kutufanya sisi majuha. Yaani yule dereva wa boda boda ndia aliyepanga na kurusha lile bomu kweli?
 
Mwakilishi wa Vatikan UN amechemsha! kwanza bomu la Arusha halina uhusiano na Ugaidi kwasababu waliokamatwa mpaka sasa hivi ni Vijana wa Kikristo na hata Kardinali Pengo kathibitisha hilo! pili huyu Mwakilishi wa Vatikan UN ni Mhindi, na huko kwao India milipuko ya mabomu na ulipuaji wa Majumba ya ibada nikitu cha Kawaida! hasa tukio kubwa la kulipua na kuchoma Msikiti mkubwa wa kihistoria huko Ayodha India mwaka 1992 na kuuliwa mamia ya Waislamu na Baniani lakini Muhindi huyu haoni huko kwao bali macho yake yako Arusha na Afrika!

Huu ni ubaguzi wa rangi unaoonyeshiwa na Mwakilishi huyu wa Papa UN! Milipuko ya mabomu India na Asia hayajafikishwa UN kwanini iwe ni Afrika tu? unaweza kulinganisha mabomu yanayolipuka Afrika na yale ya Asia?

Aisee wewe kichwa chako sijui kina kazi gani hapa duniani.
 
Wewe umeongea nini hapa zaidi ya matusi? jibu hoja kwa hoja matusi hayana nafasi JF! sana sana ukiendelea na matusi kila mwenye akili atakudharau! jiheshimu ndugu!

Wewe ndio unayeongea maudhi, ni lini waliotupa hilo Bomu la mkono wamekamatwa?
Ambrose yeye alipakia abiria ambaye ndiye aliyelitupa na hakumlipa.
sasa subiri atakapokamatwa mhusika ndipo utakapoamini kuwa Arusha ndio chanzo cha milipuko yote hata ile ya Dar-Es-Salaam na Nairobi
MUNGU hayuko mbali na tukio hili kwani iko siku watajionesha wote na utaamini ni Magaidi (Gaidi hana DINI)
 
Mwakilishi wa Vatikan UN amechemsha! kwanza bomu la Arusha halina uhusiano na Ugaidi kwasababu waliokamatwa mpaka sasa hivi ni Vijana wa Kikristo na hata Kardinali Pengo kathibitisha hilo! pili huyu Mwakilishi wa Vatikan UN ni Mhindi, na huko kwao India milipuko ya mabomu na ulipuaji wa Majumba ya ibada nikitu cha Kawaida! hasa tukio kubwa la kulipua na kuchoma Msikiti mkubwa wa kihistoria huko Ayodha India mwaka 1992 na kuuliwa mamia ya Waislamu na Baniani lakini Muhindi huyu haoni huko kwao bali macho yake yako Arusha na Afrika!

Huu ni ubaguzi wa rangi unaoonyeshiwa na Mwakilishi huyu wa Papa UN! Milipuko ya mabomu India na Asia hayajafikishwa UN kwanini iwe ni Afrika tu? unaweza kulinganisha mabomu yanayolipuka Afrika na yale ya Asia?

We kweli ni MUISLAMU cheki povu linavyokudondoka....umepaniick...mnaogopa aibu eeh....
 
Wewe umeongea nini hapa zaidi ya matusi? jibu hoja kwa hoja matusi hayana nafasi JF! sana sana ukiendelea na matusi kila mwenye akili atakudharau! jiheshimu ndugu!

Cheki lilivyojinga limejitukana lenyewe
 
Mbona kauli ya huyu Askofu inapingana na Muhadhama Polycarp Cardinal Pengo ambaye alisema tukio lile halina uhusiano na udini?Mbona taarifa tajwa hapo juu imehimiza sana viongozi wa dini kuwazuia waumini wao huyu mhindi kadanganywa na nani kuwa tukio lile linauhusiano na udini? Hapo kuch kuch amechemsha labda kama analake jambo.

Emb rudia kusoma vizuri.Amesema inahusiana na ugaidi co udini.
 
Hawa Kenge wanatafuta sababu za kuja Kuiharibu hii nchi...
Huyo Askofu aanze na nchini kwake kwanza...kila siku mabomu yanalipuka ...
Mtu mpaka kwenye malls mnakaguliwa mabomu.....Ushindwe Kardinali

unatakiwa uelewe yeye co raia wa India bali ni Vatican.
 
Penye red,

Gaidi anaweza kuwa mkristo, muislam hata mpagani. Ugaidi hauna ubaguzi wa rangi, gaidi anaweza kuwa mzungu, mmatumbwi, muarabu hata mjapani.

Kwa msaada tu definition ya terrorism: Systematic use of violence to create a general climate of fear in a population and thereby to bring about a particular political objective.

Angalia kwa makini hii definition, haitaji mmakonde, mweusi, mzungu, mwaarabu, mkristo, muislam wala mpagani.

Kamanda, unapo jadili haya mambo jitahidi kuwa sensitive na udini na race. Wewe mwenyewe unaweza kuwa mbaguzi wa rangi (Penye blue) kama ulivyo sema.

Usimlaumu sana si unajua tatizo lao!!! Dufu..
 
Gaidi ni gaidi tu aijalishi jinsia, rangi,kabila wala dini
 
Mwakilishi wa Vatikan UN amechemsha! kwanza bomu la Arusha halina uhusiano na Ugaidi kwasababu waliokamatwa mpaka sasa hivi ni Vijana wa Kikristo na hata Kardinali Pengo kathibitisha hilo! pili huyu Mwakilishi wa Vatikan UN ni Mhindi, na huko kwao India milipuko ya mabomu na ulipuaji wa Majumba ya ibada nikitu cha Kawaida! hasa tukio kubwa la kulipua na kuchoma Msikiti mkubwa wa kihistoria huko Ayodha India mwaka 1992 na kuuliwa mamia ya Waislamu na Baniani lakini Muhindi huyu haoni huko kwao bali macho yake yako Arusha na Afrika!

Huu ni ubaguzi wa rangi unaoonyeshiwa na Mwakilishi huyu wa Papa UN! Milipuko ya mabomu India na Asia hayajafikishwa UN kwanini iwe ni Afrika tu? unaweza kulinganisha mabomu yanayolipuka Afrika na yale ya Asia?

Umeshasema ni mwakilishi wa Vatican UN,hivyo basi India na nchi nyinigine zina wawakilishi wao usichanganye mambo
 
Watu wachunguze kinyumena hivyo wazungu watakupelekeni kubaya mimi sioni sababu ya huyu mtu wa vatikani kuisemea tanzania sababu tanzania in mawaziri wa ndani waziriwa mambo ya nje pia in wawakilishi wake un hivyo matatizo ya watanzznia yatatuliwe na watanzania wenyewe

sasa hivi kwenye ulimwengu kuna vita vya rasilimali ambazo wazungu hupiganisha watu ili wachote mali mfano iraq na libya sas kuweni makini tanzania isiwe na wasemaji wengi
waisilam wakisema waikristo hivi navile na wakristo wakisema hi i na vile tizameni wazungu na vitimbi vyao na misaada yao
 
Tehe tehe tehe.Anamfanyia kampeni Padre.

Tutahakikisha nchi haitawaliki.

Siasa za maji taka mpaka Vatikani.

Tusubiri kinuke tuone kama huyo mtu wao atakuwa Raisi wa Nchi hii.
 
Kwanini wamewaachia wale Waarab wa Saudi Arabia lakini Wanaendelea kuwashikilia Watanzania Wakristu.Chuki ya Serikali hii ya CCM kwa Wakristu inanistaajabisha.
mawazo yako kama ya katibu mkuu wako.
 
...Kuna watanzania wanachekelea tukio la Arusha. Matukio kama ya arusha yatabadilisha maisha yetu moja kwa moja. Leo nilikuwa kwenye maonyesho ya mifuko ya jamii yaliyokuwa yanafanyika Nyerere Sq. dodoma. Kwa mara ya kwanza nimeona washiriki wote wanakaguliwa kwa mashine kana kwamba wanapanda ndege kwende Marekani!Foleni ndeefu kisa watu wakagua mabomu!

Kuna kisa kingine. Kuna mwalimu mmoja wa chuo cha umma ambaye mwajiri wake alikuwa tayari kumlipia ada na gharama za kuishi wakati wa masomo Uingereza. Ajabu ni kwamba huyu bwana alinyimwa visa kabisa wakati tayari alikuwa na admission na kuna walimu wengine wa chuo hicho hicho walikuwa wanaruhusiwa kwenda na visa wanapata! Tuwe tayari sasa kukosa visa za kwenda kwa kina 'mjomba' sababu ya ushabiki wa ndondi za Jogoo!

Mwisho, binafsi siamini kama serikali ina nia ya dhati ya kudhibiti ugaidi na uanaharakati wa kidini. Haiwezekani tukio kama la arusha, eti likawa na mshukiwa mmoja tu! This is a fat lie! Lazima kuna watu wengi ameshirikiana nao. Tunahitaji kuwajua, tena kwa majina na uhusika wao! Kukamatwa kwa ambrose, lengo ni kuwaaminisha wananchi kwamba tukio lile halina uhusiana na msuguano wa kidini unaoendelea? Tueleweshwe kinagaubaga-nini lilikuwa lengo la ambrose? Anauchukia ukatoliki? Ametumwa na M23? Wizi mtupu!!
 
Evolution ya mambo haya haitaicha nchi yetu.soon hata serikali inaweza kuwa tuhumiwa.

Km ya rwakatare ,mwangosi,kuuwawa padri serikali haijajitoa.

Miaka ile ubalozi wa marekani ukipigwa,kuhusika au kutohusika kwa thomasi lymo hakukua sawia sana,.

Maelelezo ya ambrose na mfulilizo wa mambo ni wazi kuwa tukio limepoteza ushahidi mwishoni mbele ya watanzania.
 
Mwakilishi wa Vatikan UN amechemsha! kwanza bomu la Arusha halina uhusiano na Ugaidi kwasababu waliokamatwa mpaka sasa hivi ni Vijana wa Kikristo na hata Kardinali Pengo kathibitisha hilo! pili huyu Mwakilishi wa Vatikan UN ni Mhindi, na huko kwao India milipuko ya mabomu na ulipuaji wa Majumba ya ibada nikitu cha Kawaida! hasa tukio kubwa la kulipua na kuchoma Msikiti mkubwa wa kihistoria huko Ayodha India mwaka 1992 na kuuliwa mamia ya Waislamu na Baniani lakini Muhindi huyu haoni huko kwao bali macho yake yako Arusha na Afrika!

Huu ni ubaguzi wa rangi unaoonyeshiwa na Mwakilishi huyu wa Papa UN! Milipuko ya mabomu India na Asia hayajafikishwa UN kwanini iwe ni Afrika tu? unaweza kulinganisha mabomu yanayolipuka Afrika na yale ya Asia?

Kadogoo Punguza Munkari uanaposema waliuhusika na ulipuwaji ni wakristo kwahiyo siyo ugaidi unamaana gani au unataka kutuaminisha kuwa wakristo hawawezi kufanya ugaidi? tafadhali pima unachozungumza kabala hujaropoka hovyo. acha kuongozwa na hisia badala ya akili na ndiyo maana wengi manashindwa kuwa rational kutokana na kuendekeza jazba badala ya hekima na busara.
 
Kwa hiyo unataka kusema kuwa bomu la Arusha ni Ugaidi? na ni ugaidi wa ndani au ugaidi wa Kimataifa? vipi kuhusu Vatikan kutaja Afrika tu na sio Asia? huo ndio ubaguzi naouzungumzia! lakini kumbuka Tanzania tuna sheria ya Ugaidi na sheria hii inawahusu Waislamu tu! ndio maana Wanasheria wa Lwakatare waliishangaa Serikali kumshitaki kwa ugaidi na baadae Mahakama kumfutia kosa la ugaidi!

Mjinga sana wewe...
 
Penye red,

Gaidi anaweza kuwa mkristo, muislam hata mpagani. Ugaidi hauna ubaguzi wa rangi, gaidi anaweza kuwa mzungu, mmatumbwi, muarabu hata mjapani.

Kwa msaada tu definition ya terrorism: Systematic use of violence to create a general climate of fear in a population and thereby to bring about a particular political objective.

Angalia kwa makini hii definition, haitaji mmakonde, mweusi, mzungu, mwaarabu, mkristo, muislam wala mpagani.

Kamanda, unapo jadili haya mambo jitahidi kuwa sensitive na udini na race. Wewe mwenyewe unaweza kuwa mbaguzi wa rangi (Penye blue) kama ulivyo sema.

1. He knows what he's doing.
2. Pengine kwake yeye waliokufa na kujerehiwa kwa tukio hilo walistahili.
 
Kwanini wamewaachia wale Waarab wa Saudi Arabia lakini Wanaendelea kuwashikilia Watanzania Wakristu.Chuki ya Serikali hii ya CCM kwa Wakristu inanistaajabisha.

yani chadema wanatakiwa wakukamatea wakuchape makofi coz unataka watu wa amini mawazo yako ni ya chadema sisi wa tz wajanja siku hizi huwezi kuwalisha watu makamasi yako yenye tb,akilizako za mbuzi aina ya kondoo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom