TAMKO
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 1,090
- 762
Ndugu Wanajamvi, nimeipitia Sheria hii ya BOMOABOMOA Imenistua Kidogo. Fafanuzi ya Ssheria hii inavyosema Kwamba kutokea Askari Monument, ukakamata barabara ya Umoja wa mataifa na kunyokea Morogoro Road kiasi Cha Kilometa 10 (ambazo ukipima zinaishia Ubungo) ni Upana wa mita 120 yaani 60 Kila upande.
Na kuanzia Ubungo kuna kilometa 6 say mpaka kimara za mita 180 yaani 90 Kila upande. Na ukisoma hapo kutokea kimara hadi mlandizi ni upana wa mita 120 Kila upande. Kisha mlandizi hadi Ruvu inapungua mita 180 means 90 each side na kisha kuanzia Ruvu hadi morogoro ni 120 means 60 each side.
Watu wa Kimara hadi kibaha wamesha bomolewa 120m Kila upande na barabara sasa inasoma 240m. Sasa imebaki Kimara hadi Askari Monument ambayo Maghorofa yote (la Tanesco Chamtoto) yanatarajiwa Kubomolewa MANAKE Sheria ni Msumeno.
Na kuanzia Ubungo kuna kilometa 6 say mpaka kimara za mita 180 yaani 90 Kila upande. Na ukisoma hapo kutokea kimara hadi mlandizi ni upana wa mita 120 Kila upande. Kisha mlandizi hadi Ruvu inapungua mita 180 means 90 each side na kisha kuanzia Ruvu hadi morogoro ni 120 means 60 each side.
Watu wa Kimara hadi kibaha wamesha bomolewa 120m Kila upande na barabara sasa inasoma 240m. Sasa imebaki Kimara hadi Askari Monument ambayo Maghorofa yote (la Tanesco Chamtoto) yanatarajiwa Kubomolewa MANAKE Sheria ni Msumeno.