prezdesho Senior Member Joined Dec 30, 2015 Posts 150 Reaction score 79 Jan 6, 2016 #61 Kichuna said: Haloo we acha tu ila namba tunaisoma wote Click to expand... Kweli mpaka umejua idadi ya nyumba zitakazo vunjwa kaxi ya namba hiyo
Kichuna said: Haloo we acha tu ila namba tunaisoma wote Click to expand... Kweli mpaka umejua idadi ya nyumba zitakazo vunjwa kaxi ya namba hiyo
Yumbayumba JF-Expert Member Joined May 31, 2012 Posts 1,240 Reaction score 845 Jan 6, 2016 Thread starter #62 mtukuyu said: Inawezekana uko umbali wa mita 60 kutoka kwenye mto lakini ni bondeni mafuriko yanafika. pole sana mkuu Click to expand... Ni mbali na mto na mafuruko hayajawahi kufika hata mara moja tangu tuhamie mwaka 1995
mtukuyu said: Inawezekana uko umbali wa mita 60 kutoka kwenye mto lakini ni bondeni mafuriko yanafika. pole sana mkuu Click to expand... Ni mbali na mto na mafuruko hayajawahi kufika hata mara moja tangu tuhamie mwaka 1995
Yumbayumba JF-Expert Member Joined May 31, 2012 Posts 1,240 Reaction score 845 Jan 6, 2016 Thread starter #63 prezdesho said: Kweli mpaka umejua idadi ya nyumba zitakazo vunjwa kaxi ya namba hiyo Click to expand... Wametangaza wenyewe wanataka kujenga garden nasikia
prezdesho said: Kweli mpaka umejua idadi ya nyumba zitakazo vunjwa kaxi ya namba hiyo Click to expand... Wametangaza wenyewe wanataka kujenga garden nasikia
Daudi Mchambuzi JF-Expert Member Joined Nov 25, 2010 Posts 62,190 Reaction score 128,240 Jan 6, 2016 #64 na bado hujaisoma vizuri.
M mtukuyu Senior Member Joined Apr 27, 2013 Posts 129 Reaction score 62 Jan 6, 2016 #65 Kichuna said: Ni mbali na mto na mafuruko hayajawahi kufika hata mara moja tangu tuhamie mwaka 1995 Click to expand... Kichuna said: Ni mbali na mto na mafuruko hayajawahi kufika hata mara moja tangu tuhamie mwaka 1995 Click to expand... Kichuna said: Ni mbali na mto na mafuruko hayajawahi kufika hata mara moja tangu tuhamie mwaka 1995 Click to expand... Pole sana Mkuu, Sijui wanatumia kigezo gani sasa?
Kichuna said: Ni mbali na mto na mafuruko hayajawahi kufika hata mara moja tangu tuhamie mwaka 1995 Click to expand... Kichuna said: Ni mbali na mto na mafuruko hayajawahi kufika hata mara moja tangu tuhamie mwaka 1995 Click to expand... Kichuna said: Ni mbali na mto na mafuruko hayajawahi kufika hata mara moja tangu tuhamie mwaka 1995 Click to expand... Pole sana Mkuu, Sijui wanatumia kigezo gani sasa?
Yumbayumba JF-Expert Member Joined May 31, 2012 Posts 1,240 Reaction score 845 Jan 6, 2016 Thread starter #66 mtukuyu said: Pole sana Mkuu, Sijui wanatumia kigezo gani sasa? Click to expand... Wote hatujui
M mtukuyu Senior Member Joined Apr 27, 2013 Posts 129 Reaction score 62 Jan 6, 2016 #67 Kichuna said: Ni mbali na mto na mafuruko hayajawahi kufika hata mara moja tangu tuhamie mwaka 1995 Click to expand... prezdesho said: Kweli mpaka umejua idadi ya nyumba zitakazo vunjwa kaxi ya namba hiyo Click to expand... Vip waliweka X? kabla hawajabomoa?
Kichuna said: Ni mbali na mto na mafuruko hayajawahi kufika hata mara moja tangu tuhamie mwaka 1995 Click to expand... prezdesho said: Kweli mpaka umejua idadi ya nyumba zitakazo vunjwa kaxi ya namba hiyo Click to expand... Vip waliweka X? kabla hawajabomoa?
Black Sniper JF-Expert Member Joined Dec 10, 2013 Posts 34,434 Reaction score 59,289 Jan 6, 2016 #68 Kichuna said: Nasikia wanataka kujenga garden Click to expand... Au kiwanda? Maana wanasema itakuwa nchi ya viwanda. Poleni sana
Kichuna said: Nasikia wanataka kujenga garden Click to expand... Au kiwanda? Maana wanasema itakuwa nchi ya viwanda. Poleni sana
fdizzle JF-Expert Member Joined Jul 29, 2015 Posts 1,902 Reaction score 2,405 Jan 6, 2016 #69 Tangawizi said: Kujenga bila kufuata taratibu za mipango miji Click to expand... Umekaririshwa
Yumbayumba JF-Expert Member Joined May 31, 2012 Posts 1,240 Reaction score 845 Jan 6, 2016 Thread starter #70 black sniper said: Au kiwanda? Maana wanasema itakuwa nchi ya viwanda. Poleni sana Click to expand... Tatizo watu wanawaza wataenda wapi, wangetufidia hata kidogo tungeondoka bila malalamiko waanzishe hivyo viwanda vyao
black sniper said: Au kiwanda? Maana wanasema itakuwa nchi ya viwanda. Poleni sana Click to expand... Tatizo watu wanawaza wataenda wapi, wangetufidia hata kidogo tungeondoka bila malalamiko waanzishe hivyo viwanda vyao
Yumbayumba JF-Expert Member Joined May 31, 2012 Posts 1,240 Reaction score 845 Jan 6, 2016 Thread starter #71 fdizzle said: Umekaririshwa Click to expand... Achana nae huyo sio wakubishana nae, huku watu wanahati zote na mbali na mto pia sio eneo hatarishi wameweka x sasa mtu anapotaka ligi bila sababu za msingi unaachana nae tu
fdizzle said: Umekaririshwa Click to expand... Achana nae huyo sio wakubishana nae, huku watu wanahati zote na mbali na mto pia sio eneo hatarishi wameweka x sasa mtu anapotaka ligi bila sababu za msingi unaachana nae tu
Black Sniper JF-Expert Member Joined Dec 10, 2013 Posts 34,434 Reaction score 59,289 Jan 6, 2016 #72 Kichuna said: Tatizo watu wanawaza wataenda wapi, wangetufidia hata kidogo tungeondoka bila malalamiko waanzishe hivyo viwanda vyao Click to expand... Ni mfumo ulikuwa mbaya mliachiwa na kujenga sasa hali ni tofauti hakuna jinsi ni kumshukuru Mungu kwa kila kitu. Na haya yatapita vuteni subra
Kichuna said: Tatizo watu wanawaza wataenda wapi, wangetufidia hata kidogo tungeondoka bila malalamiko waanzishe hivyo viwanda vyao Click to expand... Ni mfumo ulikuwa mbaya mliachiwa na kujenga sasa hali ni tofauti hakuna jinsi ni kumshukuru Mungu kwa kila kitu. Na haya yatapita vuteni subra
Leak Platinum Member Joined Feb 22, 2012 Posts 52,939 Reaction score 43,569 Jan 6, 2016 #73 miss strong said: Poleni.....wamelipania hilo bonde msimbazi Click to expand... miss strong happy new year!
miss strong said: Poleni.....wamelipania hilo bonde msimbazi Click to expand... miss strong happy new year!
K katatuu JF-Expert Member Joined Nov 26, 2011 Posts 501 Reaction score 131 Jan 6, 2016 #74 Poleni sana
Leak Platinum Member Joined Feb 22, 2012 Posts 52,939 Reaction score 43,569 Jan 6, 2016 #75 Kichuna said: Zinazidi mkuu kuanzia tabata tabata reli, aroma, shule hadi baracuda ukiteremka huku chini ni vilio tu Click to expand... pia kuna walio vamia eneo la reli..
Kichuna said: Zinazidi mkuu kuanzia tabata tabata reli, aroma, shule hadi baracuda ukiteremka huku chini ni vilio tu Click to expand... pia kuna walio vamia eneo la reli..
Yumbayumba JF-Expert Member Joined May 31, 2012 Posts 1,240 Reaction score 845 Jan 6, 2016 Thread starter #76 Daudi Mchambuzi said: na bado hujaisoma vizuri. Click to expand... Nisomee wewe kwa sauti
BADILI TABIA JF-Expert Member Joined Jun 13, 2011 Posts 32,766 Reaction score 23,217 Jan 6, 2016 #77 Poleni sana... Hii kitu isikie kwa mwenzio tu Ambaye hajawahi kujenga ndio atashabikia
Yumbayumba JF-Expert Member Joined May 31, 2012 Posts 1,240 Reaction score 845 Jan 6, 2016 Thread starter #78 mtukuyu said: Vip waliweka X? kabla hawajabomoa? Click to expand... Hawajabomoa bado jana ndio wameweka X
mtukuyu said: Vip waliweka X? kabla hawajabomoa? Click to expand... Hawajabomoa bado jana ndio wameweka X
Yumbayumba JF-Expert Member Joined May 31, 2012 Posts 1,240 Reaction score 845 Jan 6, 2016 Thread starter #79 BADILI TABIA said: Poleni sana... Hii kitu isikie kwa mwenzio tu Ambaye hajawahi kujenga ndio atashabikia Click to expand... Hao ndio wakipoteza tu simu wanachanganyikiwa, je nyumba?
BADILI TABIA said: Poleni sana... Hii kitu isikie kwa mwenzio tu Ambaye hajawahi kujenga ndio atashabikia Click to expand... Hao ndio wakipoteza tu simu wanachanganyikiwa, je nyumba?
Yumbayumba JF-Expert Member Joined May 31, 2012 Posts 1,240 Reaction score 845 Jan 6, 2016 Thread starter #80 black sniper said: Ni mfumo ulikuwa mbaya mliachiwa na kujenga sasa hali ni tofauti hakuna jinsi ni kumshukuru Mungu kwa kila kitu. Na haya yatapita vuteni subra Click to expand... Tuseme inshallah...
black sniper said: Ni mfumo ulikuwa mbaya mliachiwa na kujenga sasa hali ni tofauti hakuna jinsi ni kumshukuru Mungu kwa kila kitu. Na haya yatapita vuteni subra Click to expand... Tuseme inshallah...