Halafu wakisaga meno wewe unanufaika kwa lipi!Hatuwezi kuacha Nchi iharibike hata siku moja. Wote mliovamia maeneo ya barabara na mengine yote ya public mtasaga meno
Halafu wakisaga meno wewe unanufaika kwa lipi!Hatuwezi kuacha Nchi iharibike hata siku moja. Wote mliovamia maeneo ya barabara na mengine yote ya public mtasaga meno
Yuko miguu juu anayaangalia hayo maafa kwa I.T.VTuna uongozi katili sana, kama wangetangaza hata siku moja kabla halafu wahusika wakakaidi ningewaelewa, lakini 2006 hadi leo!!!!
Magufuli angalia uonevu huu, ninalaani jambo hili sana
Mbaya sanaYuko miguu juu anayaangalia hayo maafa kwa I.T.V
Haya ndio mabadiliko ya ukweli ya kupanua barabara na kuondoa wavamizi wa maeneo ya waziTarehe 25.10.2015 walijifanya wajanja walioambiwa wachague mabadiliko. Sasa ngoja waisome namba....
Ttaarifa imetolewa tangu mwaka 2006 na kila baada ya miezi miwili walikuwa wanapewa notice. Vichwa vigumuKwa nini wasitoe taarifa.....
Nia yako imefahamika!!!Nauliza kwa nia njema tu, hili jimbo liko chini ya chama gani kumbe?? Mimi sio mchochezi kabisa nimeuliza kwa nia njema tu
hivi sisi wabongo ni kweli taarifa za bomoa bomoa huwa hazitolewi kabla? sijawahi kusikia bomoa bomoa halafu mwananchi akiri kuwa taarifa ilitolewa mapema. Tujifunze kuwa wakweliTtaarifa imetolewa tangu mwaka 2006 na kila baada ya miezi miwili walikuwa wanapewa notice. Vichwa vigumu
Kwani wakipewa notisi na kuambiwa tarehe fulani tunakuja bomoa toeni vitu vyenu wanapoteza nini? Unapondaje vitu vua super market na machine ? Kweli huruma hakuna???Ttaarifa imetolewa tangu mwaka 2006 na kila baada ya miezi miwili walikuwa wanapewa notice. Vichwa vigumu