Sidhani kama ni kweli mimi nilikuwa naishi kurasini mwenye nyumbani wangu alipewa mil 200 hivi zilikuwa nyumba mbili afu Akasema hazitoshi wakapeleka malalamiko waongezewe yaani walikuwa wanatest tu kama hataongezewa ila hakuna mkazi wa Kurasini ambaye hakulipwa ila haturidhiki na tunachopewa.Miaka 20 ijayo ukisikia magadi walipua Bomu jamii mnabaki kulaumu! Hivi umnategemea nini katika mazingira kama haya!
Leo hii mtoto mdogo wa umri wa miaka btwn 5-10 anashuhudia nyumba yao inabomolewa na wao kubakia nje bila kibanda chakujihifadhi chini ya usimamizi wa Serikali?.
Serikali makini kwa mtazano wangu ingewafungulia mashitaka wale wote waliokataa kuhama ili hali wamechukua pesa za kuwa fidia na si kunyume chake!