Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,070
Ubomoaji wa myumba za ufukweni ni danganya toto maana tayari watu wameshalipwa stahili zao, kinachofanyika ni danganya toto kama ni kweli mbona wamiliki hawaja onekana kwenye nyumba zao? wameonekana wapangaji na vibaka waliokuwa wanajichukulia mabati.
Hizo nyumba nyingi zilikuwa hazijaisha kama ni zile za kule kunduchi chini ninazozifahamu mimi.