Bomoa-Bomoa ya UFUKWENI si bure

Bomoa-Bomoa ya UFUKWENI si bure

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,140
Reaction score
18,004
Ni wazi kuwa ubomoaji wa majumba ya kifahari kwenye fukwe ya Bahari ya Hindi,Dar es Salaam inavuta hisia za wengi.Wengine tunafuatilia tukishangaa namna wahuni wachache wa nchi hii walivyojilimbikizia mali na kujenga majumba ya thamani kubwa. Serikali inafanya kusudi kuvuta 'attention' ya watu ili wasahau mambo muhimu kama ya migomo na maisha bora.Serikali inajipalilia moto zaidi.Inaongeza chuki kwa wananchi.Kwanini isifanye sirini?

Tunafaidikaje kuangalia matingatinga yao? Ukweli ni kwamba,kila anayevunjiwa nyumba yake ameshalipwa. Serikali pale inafanya maigizo.Fahamuni kuwa Serikali iko kwenye harakati za kuwaaminisha watanzania kuwa yenyewe na viongozi wake si dhaifu.
 
Ni wazi kuwa ubomoaji wa majumba ya kifahari kwenye fukwe ya Bahari ya Hindi,Dar es Salaam inavuta hisia za wengi.Wengine tunafuatilia tukishangaa namna wahuni wachache wa nchi hii walivyojilimbikizia mali na kujenga majumba ya thamani kubwa. Serikali inafanya kusudi kuvuta 'attention' ya watu ili wasahau mambo muhimu kama ya migomo na maisha bora.Serikali inajipalilia moto zaidi.Inaongeza chuki kwa wananchi.Kwanini isifanye sirini?

Tunafaidikaje kuangalia matingatinga yao? Ukweli ni kwamba,kila anayevunjiwa nyumba yake ameshalipwa. Serikali pale inafanya maigizo.Fahamuni kuwa Serikali iko kwenye harakati za kuwaaminisha watanzania kuwa yenyewe na viongozi wake si dhaifu.

I see a lot of sense in your narrations!! Kama wamelipwa basi n usanii wakati walijenga kwa kukiuka sheria! Prof anna Tibaijuka anaonekana kaweza!!! Great if what is narrated above is not true!
 
duuu...wananchi tumekuwa kama bendera tunapelekwa pelekwa tu kila upande yatupasa tuwe na msimamo natuache kuyumbishwa yumbishwa kama mashua iliyokosa uelekeo..
 
Mmmmh, lile jengo la TANESCO , Ubungo watalibomoa lini?
 
Maeneo ya wapi hayo mkuu? Au ndio mradi daraja la Kigamboni? Kama weshalipwa hakuna shida. Mbona masikini nao wanavunjiwa tu.
 
Ni wazi kuwa ubomoaji wa majumba ya kifahari kwenye fukwe ya Bahari ya Hindi,Dar es Salaam inavuta hisia za wengi.Wengine tunafuatilia tukishangaa namna wahuni wachache wa nchi hii walivyojilimbikizia mali na kujenga majumba ya thamani kubwa. Serikali inafanya kusudi kuvuta 'attention' ya watu ili wasahau mambo muhimu kama ya migomo na maisha bora.Serikali inajipalilia moto zaidi.Inaongeza chuki kwa wananchi.Kwanini isifanye sirini?

Tunafaidikaje kuangalia matingatinga yao? Ukweli ni kwamba,kila anayevunjiwa nyumba yake ameshalipwa. Serikali pale inafanya maigizo.Fahamuni kuwa Serikali iko kwenye harakati za kuwaaminisha watanzania kuwa yenyewe na viongozi wake si dhaifu.

wabongo hamkosi cha kuongea kudagadaga deki
 
Hakika ni ngumu kumridhisha binadamu kama ilivyo vigumu ngamia kupita kwenye tundu la sindano.

Hata kama unaichukia serikali inayoitwa dhaifu lakini ikifanya jambo jema tunahitaji kuinga mkono.
 
Magufuli anaogopa kilomita atakazokimbizwa akivunja hilo jengo.

Kasema bungeni juzi kwamba hata kama hatalibomoa yeye bado litakuja kubomolewa bila fidia kwa sababu liko kwenye hifadhi ya barabara.
 
Maeneo ya wapi hayo mkuu? Au ndio mradi daraja la Kigamboni? Kama weshalipwa hakuna shida. Mbona masikini nao wanavunjiwa tu.

zamu ya matajiri imewadia tumelalamika sana kuwa ni masikini tu wanaguswa sasa maghorofa yameangushwa na tingatinga
 
I see a lot of sense in your narrations!! Kama wamelipwa basi n usanii wakati walijenga kwa kukiuka sheria! Prof anna Tibaijuka anaonekana kaweza!!! Great if what is narrated above is not true!


Mama Tiba kaanza kuwatiba wagonjwa sugu...... thanks mama.
 
Nitaamini watakabomoa apartments za pa msasani apposite na TMJ zinazosababisha mafuriko kila mvua inyeshapo, vinginevyo ni ze comedy nyingine
 
I see a lot of sense in your narrations!! Kama wamelipwa basi n usanii wakati walijenga kwa kukiuka sheria! Prof anna Tibaijuka anaonekana kaweza!!! Great if what is narrated above is not true!

nyumba zimevunjwa zikiwa na vitu ndani baada ya kukaidi kuhama... mama Dr Gerudi Lwakatare kakimbilia mahakamani kupinga sio jambo dogo kama unavyodhani kwamba serikali imewalipa kisirisiri. Huyu ni mbunge lakini kaguswa na bomoa bomoa ya mama Tiba.
 
zamu ya matajiri imewadia tumelalamika sana kuwa ni masikini tu wanaguswa sasa maghorofa yameangushwa na tingatinga
na umeona matajiri hawajafanya kitu chochote na mpaka polisi alisema zoezi limeenda vizuri bila vurugu ................ukiona hivyo ujue kuna kitu kimefanyika ndo mana hawajalalamika zaidi ya mmoja alisema wangesema lini wanakuja ili waondoe vyombo vyao...............si bure lazima kuna fidia wamepewa..................

ila maskini analalamika sababu anakuwa ajapewa chake na nyumba yake inabomolewa................still sijaona haki hapo zaidi ya usanii kutuonyesha kwamba hata matajiri wanabomolewa kumbe danganya toto.
 
Nitaamini watakabomoa apartments za pa msasani apposite na TMJ zinazosababisha mafuriko kila mvua inyeshapo, vinginevyo ni ze comedy nyingine


polepole..... mama Tiba alishalisemea liko njiani linakuja.

Mama Tiba alishawaita ofisini kwake kuwaambia waondoke wapeshe mkondo wa maji. Hao wa ufukweni nao alizungumza nao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom