Bomba la mafuta toka Uganda kitendawili

Bomba la mafuta toka Uganda kitendawili

Sibonike

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2010
Posts
17,297
Reaction score
18,046
Kuna taarifa kwamba Tanzania inataka kupitia upya vivutio ilivyotoa ili bomba hilo lipite Tanzania. Sasa wamegundua hakuna faida kwa Tanzania. Ilikuwa rahisi sana kuisema mikataba ya ovyo ya Mkapa na Kikwete.

Hili la bomba ni awamu hii iliyojinasibu haitaki mikataba ya ovyo. Waganda na makampuni makubwa hawakubali upuuzi huo wa Tanzania.

Huenda bomba likapita Kenya kama ilivyokusudiwa mwanzo. Ukigeugeu wa Tanzania umemkera mno Kaguta Museveni.
 
kuna taarifa kwamba Tanzania inataka kupitia upya vivutio ilivyotoa ili bomba hilo lipite Tanzania.
Sasa wamegundua hakuna faida kwa Tanzania. Ilikuwa rahisi sana kuisema mikataba ya ovyo ya Mkapa na Kikwete.
Hili la bomba ni awamu hii iliyojinasibu haitaki mikataba ya ovyo.
Waganda na makampuni makubwa hawakubali upuuzi huo wa Tanzania. Huenda bomba likapita Kenya kama ilivyokusudiwa mwanzo.

Ukigeugeu wa Tanzania umemkera mno Kaguta Museveni.
MK254 njoo huku uichukue hii habari tuijadili kwenye jukwaa la kenya
 
kuna taarifa kwamba Tanzania inataka kupitia upya vivutio ilivyotoa ili bomba hilo lipite Tanzania.
Sasa wamegundua hakuna faida kwa Tanzania. Ilikuwa rahisi sana kuisema mikataba ya ovyo ya Mkapa na Kikwete.
Hili la bomba ni awamu hii iliyojinasibu haitaki mikataba ya ovyo.
Waganda na makampuni makubwa hawakubali upuuzi huo wa Tanzania. Huenda bomba likapita Kenya kama ilivyokusudiwa mwanzo.

Ukigeugeu wa Tanzania umemkera mno Kaguta Museveni.
Weka chanzo cha taarifa yako.

Bomba lilishaanza kujengwa siku nyingi na mdogo yupo kwenye huo mradi
 
Weka chanzo cha taarifa yako.

Bomba lilishaanza kujengwa siku nyingi na mdogo yupo kwenye huo mradi
Haiwezi kuzuia kuhamishia Kenya kama madai mapya ya Tanzania yatakuwa na gharama kubwa kuliko kuhamisha. Hapa kuna mkono wa makumpuni makubwa na watoa fedha.
Fedha za wawekezaji bado mazungumzo yanaendelea. Limezuka suala ka Ardhi pia. Tanzania na Uganda zinataka kuongeza zile mita 30 kila upande ili kuwezesha miradi mingine. Gas bila shaka. Wazungu hawakubali hilo. Wanataka hizo hizo 30 na wamiliki wao.
 
Back
Top Bottom