Ya, ni kweli ame collpse na mechi imeahirishwa kwani haifahamiki hali yake itakuwaje...
Kwa wale wapenzi wa mpira Mchezaji wa Bolton mwenye asili ya DRC amezimia uwanjani. Hali yake si nzuri. Mechi kati ya Tottenham na Bolton (FA Cup 1/4 final) imesitishwa.
Source: Live ESPN / Sky sports News