Boko Haram wateka wasichana wengine 8

Status
Not open for further replies.
Ndiop maana watanzania huwa tunashindwa mitihani. unaulizwa swali badala ya kutoa majibu unauliza swali. Umeuliza maswali mazuri sana lakini kabla sijajibu ugethibitisha au kukanusha kwanza facts nilizomhainishia huyo KATANI kwanza kama umeamua kuwa AMICUS CURIE wake au kumpa PRO BONO legal aid
 

Mjinga hujibiwi namna ile.

Jibu keshapata yule labda wewe ndiye ulieshindwa kuelewa.
 
Jiulize kwanza hilo ni agano gani na ufafanuzi wake katika agano jipya unasemaje! Biblia sio ya kukimbilia aya na kuisoma pekee kama kuruwani

Kumbe Andiko lenu lina Versions Mbali Mbali??

Kumbe huwa linapitwa na wakati ndio kwa maana mna edit??

Sasa hayo ni maneno ya mungu au maneno ya mzungu??
 
Allah kasema tuwauze wanawake hawatakiwi kusoma kwa mjibu wa mtumishi wake Abubakar shakau

Alshabab + Boko haram wanaendelea kutimiza maandiko yao, bado UAMSHO sijui watakuja na staili gani?
 
Kumbe Andiko lenu lina Versions Mbali Mbali??
Kumbe huwa linapitwa na wakati ndio kwa maana mna edit??
Sasa hayo ni maneno ya mungu au maneno ya mzungu??

Sikuja kuitengua torati bali nimekuja kutimiliza
 


Siungi Mkono mauaji ya watoto na wasio na hatia. Lakini kwenye picha hii nimeshangaa kuona watoto wako soft, hawana jeraha, labda walikufa kwa bomu la sumu
 
sasa alipokuja kutimiliza ndio kawaambieni kuwa mufungishe ndoa za jinsia moja au ndoa hizo wanadamu na wanyama??

Tujuzane.

Unatakiwa uweke verse za Bible zinazosema ushoga na kuoa mbwa vinaruhusiwa na sio kutumia mashetani wa magharibi kusema huo uchafu umeruhusiwa. Bible yangu inaonesha Sodoma na Gomola walichomwa moto kwa sababu ya ushoga
 
Kumbe Andiko lenu lina Versions Mbali Mbali??

Kumbe huwa linapitwa na wakati ndio kwa maana mna edit??

Sasa hayo ni maneno ya mungu au maneno ya mzungu??

Unaposema Mungu si mzungu una maanisha nini? Yesu ni Myahudi, alikuja kupitia kabila la Kiyahudi ingawa hana baba. Au ulitaka aje kupitia kabila lenye Roho mbaya la Kiarabu?
 
mzee wa upako anaweza kutumia aya ya kutoka katika kitabu cha hesabu aliyoiweka kahtan kufanya kama walivyofanya boko haramu,kweli si kweli?


mkuu hizi dini kuna watu fyatu na timamu wengi nao wapo kwa dini wakizitumia kukamilisha mambo yao na uovu wao.

cha kushangaza ni waislamu kuunga mkono uovu na kila jinga linalofanywa nao hao wanaotumia uislam kwa manufaa yao akina Boko Haram na Al shabab!

Uzuri wa ukristo ikitokea mafyatu kuutumia ukristo kwa maslahi yao, kamwe huwezi ona akiungwa mkono na wakristo!
 

Kahtaan najua unafahamu mtiririko wa Bible lakini ni kiburi tu!. Kabla ya Yesu kuja watu walikuwa gizani, na ndio lengo kubwa la yeye kuja, alikuja kuwakomboa wanadamu kutoka gizani. Utasoma kuwa wakati ule wanawake walikuwa wanapondwa mawe wakikutwa wamedhini, lakini yeye aliwaambia mambo hayaendi hivyo, mwenye mamlaka ya kuukumu ni Mungu pekee maana yeye anaona hadi yaliyopo moyoni,. Sasa unapokomaa na vifungu ambavyo kwa mujibu wa mafundisho ya Yesu ni none sense unakuwa unazeesha key board yako bure.

NB: Hayo uliyoaandika ndiyo yaliyo mleta Yesu kuyasahihisha, vinginevyo hakutakiwa kuja. Yesu anasema amekuja kwa ajili ya walio waovu
 
Unaposema Mungu si mzungu una maanisha nini? Yesu ni Myahudi, alikuja kupitia kabila la Kiyahudi ingawa hana baba. Au ulitaka aje kupitia kabila lenye Roho mbaya la Kiarabu?
mkuu una uhakika wayahudi hawana Roho mbaya? Angalia halaiki ya kipalestina inavyouawa kila siku na majeshi ya kiyahudi, mahaba yakizidi sana hufunika busara!
 

BH are Satan incarnate and believers of a certain fictitious deity of Saudi Arabia. We Christians created even the Coputer you are using, haikuteremshwa na Allah. Hata kasimu unako katumia kametengenzwa na sisi, na wala Allah hana ubavu wa kushisha hizo. Ndio maana nyie mtabakia kuwa wafuasi wetu mpaka siku ya mwisho. Poleni sana wafuasi wa dini ambayo haina jema zaidi ya kuharibu mambo mema.

Hakika mtalipa dhambi zenu zote mnazo fanya hapa duniani. ENDELE KUTETEA BH kwani wanafanya kazi ya Allah na Muhammad.
 
Unaposema Mungu si mzungu una maanisha nini? Yesu ni Myahudi, alikuja kupitia kabila la Kiyahudi ingawa hana baba. Au ulitaka aje kupitia kabila lenye Roho mbaya la Kiarabu?

sasa nani kakuambia kuwa ni mungu ni mzungu??

hivi mtu na akili yako unawezaje kuliafiki suala hilo??
 
Hujielewi.....

As long as you are still living in the "box", you will never see me. Come out and emancipate yourself from mental slavery and be free in this beautiful world. Why are you muzzrattagan incarcerating yourself?
 

Mabomu ya nyuklia na silaha zimetengenezwa na wakristo wayahudi au waislam??

Nadhani muasisi wa hivyo vitu ndie muovu zaidi,na sie mtumiaji..

Besides ni waislam gani hasa unaorefer kuwa ni watumiaji wa hizo silaha?
 
Mabomu ya nyuklia na silaha zimetengenezwa na wakristo wayahudi au waislam??

Nadhani muasisi wa hivyo vitu ndie muovu zaidi,na sie mtumiaji..

Besides ni waislam gani hasa unaorefer kuwa ni watumiaji wa hizo silaha?

Kwani bomu linajilipua lenyewe au WAISLAMU WA BH ndio wanayatumia? Tumia akili unapo weka post.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…