Boil brain.

Boil brain.

Red Giant

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
15,650
Reaction score
20,994
konokono yupo ndani ya kisima cha mita 30 na anataka kutoka. mchana anapanda mita 3 na usiku akiwa amedozi anateleza kurudi chini mita 2. je atatumia siku ngapi kufika nje ya kisima? come one! come all!
 
Ikifika siku ya 27 akipanda ndio anakuwa kamaliza.... so mimi napata 27
 
konokono yupo ndani ya kisima cha mita 30 na anataka kutoka. mchana anapanda mita 3 na usiku akiwa amedozi anateleza kurudi chini mita 2. je atatumia siku ngapi kufika nje ya kisima? come one! come all!

Kisima inamaana kuna maji,hivyo atakuwa amezama.Swala lakutoka halipo.
 
Huyo lazima afie kisimani hawezi toka
 
nani kakwambia kisima kina maji? mnapewa maswali rahisi mnayacomplicate matokeo yake mnatoa majibu ambayo si ya maswali husika ndo maana mnafeli
 
konokono yupo ndani ya kisima cha mita 30 na anataka kutoka. mchana anapanda mita 3 na usiku akiwa amedozi anateleza kurudi chini mita 2. je atatumia siku ngapi kufika nje ya kisima? come one! come all!

Siku 31.
 

Duh...unawaza kama mimi.....hapo anapanda mita moja kila siku...siku ya 30 atakuwa kafika juu kabisa ya kisima ila ili aweze kutoka lazima apate tena siku 1
 
Duh...unawaza kama mimi.....hapo anapanda mita moja kila siku...siku ya 30 atakuwa kafika juu kabisa ya kisima ila ili aweze kutoka lazima apate tena siku 1

Umeona ee...? Kwa siku 30 atakuwa bado hajatoka kisimani ila atakuwa amefikia katika ncha ya mwanza wa kisima.
 
mmeshindwa kufikiria kabisa. Hatoweza kutoka,atabaki kuishia mita moja tu bila kutoka.
 
nashukuru sana kwa mlio dare ku boil your brains!. jibu ni kwamba atatumia siku 28. kila siku atapanda mita moja juu akifika siku 27 atakuwa amepanda mita 27 na atakuwa amebakiza mita tatu. siku ya ishirini na nane atapanda mita tatu zilizobaki hadi nje. big up john hotsam da1
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom