Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,225
- 12,948
Hivi toka uzaliwe umewahi kusikia kuna ndege ya nyongeza kama ukinunua tela unapewa na Kikeli bure? Ndege ya nyongeza serious...!!!!Nakumbuka baada ya kununua Boeing 787 Dreamliner kwa cash rais alisema wazungu (Boeing) wamefurahi sana, akasema wameahidi kutupa ndege nyingine ya nyongeza bure.
Tayari Dreamliner imeshafika, nauliza tu ile ndege ya nyongeza tumeshapewa au bado iko kiwandani inamaliziwa kupakwa rangi.
Wajinga ndio waliwao.