- Thread starter
- #21
Tuliwaambia huwezi kutoa oder kutengenezewa ndege kubwa kama hiyo kwa mwaka mmoja mkaona siyo hoja, sasa mmepewa 'reject' mhangaike nalo.wapinzani hawatakaaa waongoze nchi hii, badala ya kutoa hoja za maana wao wanabeza tu
Tuliwaambia huwezi kutoa oder kutengenezewa ndege kubwa kama hiyo kwa mwaka mmoja mkaona siyo hoja, sasa mmepewa 'reject' mhangaike nalo.wapinzani hawatakaaa waongoze nchi hii, badala ya kutoa hoja za maana wao wanabeza tu
Depends na mkataba unasemaje.Hivi kuna watu mlioamini tutapewa ndege ya bure? itabidi Twaweza wafanye utafiti mwingine wa akili za watanzania.
Nini faida ya mitandao kama kila kitu lazima uende wizarani.kwanini msiende kuuuliza wizara husika milango iko wazi tatizo mkipewa fursa ya kuuliza mnakaaa kimya tu mnabaki kulalamika mitandaoni tu BAADHI ya watanzania ni wanafiki
Watanunuwa kwa hela zetu,halafu watasema wamepewa nyongeza bure.WAJINGA NDIYO WALIWAO.Nakumbuka baada ya kununua Boeing 787 Dreamliner kwa cash rais alisema wazungu (Boeing) wamefurahi sana, akasema wameahidi kutupa ndege nyingine ya nyongeza bure.
Tayari Dreamliner imeshafika, nauliza tu ile ndege ya nyongeza tumeshapewa au bado iko kiwandani inamaliziwa kupakwa rangi.
Wajinga ndio waliwao.
CC: Msemaji wa serikali.
Kwanza wamalize kurekebisha Wi-FiNakumbuka baada ya kununua Boeing 787 Dreamliner kwa cash rais alisema wazungu (Boeing) wamefurahi sana, akasema wameahidi kutupa ndege nyingine ya nyongeza bure.
Tayari Dreamliner imeshafika, nauliza tu ile ndege ya nyongeza tumeshapewa au bado iko kiwandani inamaliziwa kupakwa rangi.
Wajinga ndio waliwao.
CC: Msemaji wa serikali.
kaanzishe Uzi wako! hapa tunauliza ndege ya nyongeza iko wapi?Hii ndio hali halisi ya wanachadema
Halafu mkishindwa uchaguzi mnalia tume,kumbe hamna ajenda nzito zaidi ya kebehi
Mbona ukinunua mabasi ya kichina unapewa na la mkopo?Ilikuwa kufurahisha genge tu pale na kudanganya wachache kama kawqida. Hamnaga karanga za nyongeza kwemye hizi ishu.
Mkuu ipo gereji gani ili nami angalau nikaiguse tu angalau nifaidi kodi yanguDrimulaina lipo Mwanza gereji linafungwa Wi-Fi.
Utaitwa mchocheziHizi ndege zinatia wasiwasi!
Watu mna maneno jamaniUtarushiwa bomu
Umesahau kuwa kuuliza siyo ujinga?Hii ndio hali halisi ya wanachadema
Halafu mkishindwa uchaguzi mnalia tume,kumbe hamna ajenda nzito zaidi ya kebehi
Wajibu wako ni kumjibu alicho uliza badala ya kumbezaWewe kama hufanyi kazi hii kwa kulipwa, basi ni mjinga....!
Umeambiwa ni marekebisho ya Wi-FiWewe ndio mjinga, siku zote muuliza maswali ni mwerevu na anatamani kuelewa.
Alafu ivi inakuaje dege jipya linapiga ruti moja tena locally alafu linaharibika??