weka pichaWasalaam....
Kijana umri miaka 27, mrefu nina Shahada ya kwanza, Nimepata mafunzo ya awali ya kijeshi naomba mwenye kuhitaji personal bodyguard asisite kunitafuta.....
Wasifu wangu nitakupa ukiridhia
Kamwili kako kama ka NgasaAtakayehitaji bodi gadi wawili
Mwingine nipo hapa
na wewe umevunjiwa tofali kadhaa kichwani??Atakayehitaji bodi gadi wawili
Mwingine nipo hapa
Mimi hii ndiyo silaha ya kwanza. Silaha ya mwisho ni mbio kali zisizo za kawaida.Hiyo ni silaha ya mwisho kujihami, Natumia Visu, mapanga na hata Silaha za moto ukiweza nipatia....
Dogo mbona kijana mwenzako Hamonaiza alitangaza ajira ya bodyguard au hukusikia?Wasalaam....
Kijana umri miaka 27, mrefu nina Shahada ya kwanza, Nimepata mafunzo ya awali ya kijeshi naomba mwenye kuhitaji personal bodyguard asisite kunitafuta.....
Wasifu wangu nitakupa ukiridhia
Nahitaji bodyguard wa kike ili aweze kunipa ulinzi na huduma zote muhimu nikiwa safariniWasalaam....
Kijana umri miaka 27, mrefu nina Shahada ya kwanza, Nimepata mafunzo ya awali ya kijeshi naomba mwenye kuhitaji personal bodyguard asisite kunitafuta.....
Wasifu wangu nitakupa ukiridhia
Put a cash on table and the rest is my duty.....Do you real know the meaning of bodyguard? Can you really cover up the body of your boss and even take the bullet instead of them?
Kwahiyo wewe ni bodyguard au only a personal security???!!
Ila napiga balaaKamwili kako kama ka Ngasa
Ila we jamaaUnajua kung'ata?
HahahaMimi hii ndiyo silaha ya kwanza. Silaha ya mwisho ni mbio kali zisizo za kawaida.
-Uwezo wangu ktk matumizi ya silaha ni portableUnauwezo gani katika matumizi ya silaha, portable na sophisticated.?
Unauwezo gani kwenye sanaa ya mapigano.?
Unauwezo wa kuongea lugha ngapi za ndani na kimataifa?.
Urefu wako, Rangi na uzito.?
Unauwezo wa kukimbia km ngapi bila kupumzika?
Unajua kuogelea? na uwezo wa kurescue kwa maana ya kuokoa watu wawili labda na zaidi deep sea?
Una records zozote za uhalifu au kukaa jela?
Unatatizo lolote la kiafya? au historia ya Afya yako?
Ndio Interview yenyewe hiyo mkuu inaanzia hapa?