comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 8,228
- 5,950
Katiba ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) inaitaka Bodi ya Wadhamini ya Chama kufanya mikutano isiyopungua mitatu kila mwaka.
Hata hivyo, nilibaini kuwa Bodi ya Wadhamini ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) haikufanya mikutano yoyote katika mwaka huu wa fedha.
Menejimenti ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ilihusisha suala hili na ukosefu wa fedha,jambo ambalo lilisababisha CHADEMA kushindwa kuitisha vikao vya bodi. Kushindwa kufanya vikao kunatia shaka zaidi kuhusu uwezo wa bodi kukagua mali na uwekezaji wa chama.
Pia, uwezo wake katika kubaini matumizi mabaya ya fedha ambayo yanaweza kuhatarisha upotevu wa rasilimali za chama.
Halafu ati tuwape nchi
Hata hivyo, nilibaini kuwa Bodi ya Wadhamini ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) haikufanya mikutano yoyote katika mwaka huu wa fedha.
Menejimenti ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ilihusisha suala hili na ukosefu wa fedha,jambo ambalo lilisababisha CHADEMA kushindwa kuitisha vikao vya bodi. Kushindwa kufanya vikao kunatia shaka zaidi kuhusu uwezo wa bodi kukagua mali na uwekezaji wa chama.
Pia, uwezo wake katika kubaini matumizi mabaya ya fedha ambayo yanaweza kuhatarisha upotevu wa rasilimali za chama.
Halafu ati tuwape nchi