Baada ya kunywa uji bila sukari leo unaamka na akili angalau kidogo. Eti serikali... . Kumbe unajua kuwa kuna serikali eeh? Basi sasa ipo siku utatamani tuwe na bunge pia
Sukari ipo ya kutosha.Chadema sijui watasema nini
Ipo kweli na mimi tayari nimejipanga mstari hapa Kasumulu Kyela nasubiri bodi waanze kutuuzia, mimi uwezo wangu ni kilo moja tu.Prof. Keneth Bengesi ambaye ni mkurugenzi mkuu wa bodi ya sukari amesema taifa lina sukari ya kutosha na huu uhaba bandia umesababishwa na wafanyabiashara wasio waaminifu kuficha bidhaa hiyo.
Prof Bengesi amesema kwa sasa kuna tani nyingi za sukari zinashushwa bandarini Dsm lakini pia kuna tani za kutosha ambazo tumeimport kutoka Malawi ziko mpakani Kasumulu zinafanyiwa clearance ni zitaingia madukani muda wowote ule kuanzia leo.
Bengesi amesema yatafanyika marekebisho ya bei elekezi ya sukari kwa baadhi ya mikoa ikiwemo Dsm, Tanga, Arusha nk
Chanzo: Channel ten!
Wewe, mimi siyo kama nyie.Baada ya kunywa uji bila sukari leo unaamka na akili angalau kidogo. Eti serikali... . Kumbe unajua kuwa kuna serikali eeh? Basi sasa ipo siku utatamani tuwe na bunge pia
Kwao wao ndio waliosema uhaba wa sukari utakuwa historia,tuna viwanda vingi vya sukari nchiniChadema sijui watasema nini
Kwa vile ndo wanahitaji sukari zaidi ya kila mtu hapa nchiniChadema sijui watasema nini
Katika mikoa ilioathirika na bei elekezi ni mikoa ya Mbeya, Songwe na Rukwa. Kabla ya bei elekezi sukari ilikuwa inauzwa kati ya sh. 2,500/= na 2,800/=, sasa kwa mfano Rukwa inauzwa 3,200/=.Prof. Keneth Bengesi ambaye ni mkurugenzi mkuu wa bodi ya sukari amesema taifa lina sukari ya kutosha na huu uhaba bandia umesababishwa na wafanyabiashara wasio waaminifu kuficha bidhaa hiyo.
Prof Bengesi amesema kwa sasa kuna tani nyingi za sukari zinashushwa bandarini Dsm lakini pia kuna tani za kutosha ambazo tumeimport kutoka Malawi ziko mpakani Kasumulu zinafanyiwa clearance ni zitaingia madukani muda wowote ule kuanzia leo.
Bengesi amesema yatafanyika marekebisho ya bei elekezi ya sukari kwa baadhi ya mikoa ikiwemo Dsm, Tanga, Arusha nk
Chanzo: Channel ten!
Ndio muitoe sasa bei elekezi itashuka soon!
Chadema sijui watasema nini