Bodi ya Sukari: Sukari ipo ya kutosha na nyingine inashushwa bandarini Dar na nyingine ipo mpakani Kasumulu inaingizwa kutoka Malawi

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
82,754
139,559
Prof. Keneth Bengesi ambaye ni mkurugenzi mkuu wa bodi ya sukari amesema taifa lina sukari ya kutosha na huu uhaba bandia umesababishwa na wafanyabiashara wasio waaminifu kuficha bidhaa hiyo.

Prof Bengesi amesema kwa sasa kuna tani nyingi za sukari zinashushwa bandarini Dsm lakini pia kuna tani za kutosha ambazo tumeimport kutoka Malawi ziko mpakani Kasumulu zinafanyiwa clearance ni zitaingia madukani muda wowote ule kuanzia leo.

Bengesi amesema yatafanyika marekebisho ya bei elekezi ya sukari kwa baadhi ya mikoa ikiwemo Dsm, Tanga, Arusha nk

Chanzo: Channel ten!
 
Anadai tatizo ni wafanyabiashara wasio na uaminifu, halafu anakiri kwamba wanaenda kubadili bei elekezi, yani serikali inapandisha bei!

Bei elekezi ilikuwa unrealistic. Serikali haijali au haijui gharama ya kufikisha sukari dukani.
 
Ndio muitoe sasa bei elekezi itashuka soon!

Ndio sukari ipo nyingi nchini-- Lakini hiyo sukari ipo magodown....Why

Wafanyabiashara walisema bei elekezi ya Sukari, haiendani na gharama za uendeshaji-- Kupakia, kusafirisha na kupakua...

Je, Serikali imeongeza kodi kiasi gani kwenye kila Kilo ya Sukari? ...!!!

Kwenye Diesel/petrol na mafuta taa- serikali imeongeza wastani wa Tshs 600 -800 kwenye kila lita...?
 
Bwashee p1 na mikwara mingi mara cjaribw cjui cpangiw sukari tu inawashinda au nayo anasa?hakuna sekta mliyofanikiwa japo kwa 60%
Anadai tatizo ni wafanyabiashara wasio na uaminifu, halafu anakiri kwamba wanaenda kubadili bei elekezi, yani serikali inapandisha bei!

Bei elekezi ilikuwa unrealistic. Serikali haijali au haijui gharama ya kufikisha sukari dukani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio muitoe sasa bei elekezi itashuka soon!
Mkuu Yohanmbatizaji asitudanganye kama watoto wadogo sukari hakuna, wanategemea hiyo waliyo-import ndiyo waingize sokoni. Kama ipo wameagiza ya nini?
Hivi inaingia akilini kusema kuna wafanyabiashara wameficha sukari na waachwe tu huku raia wanateseka kutafuta sukari ilipo?

Unakumbuka kauli ya Gavana wa DSM? Alisema hivyo hivyo na kwamba atapitisha msako mkali na atataifisha akikamata sukari iliyofichwa. Wiki nzima imepita hawajaambulia kitu.

Ukweli ni kwamba kulikuwa na uzembe mkubwa sana ktk kuagiza sukari nje ili kuziba pengo ambalo viwanda vyetu huwa vinaacha. Kuepuka huo uzembe mzigo unasukumiwa kwa wafanyabiashara kwamba eti wameficha sukari.
Atakuwa ni mfanyabiashara mwenye funza kichwani ambaye ataficha sukari kipindi hiki cha uhaba, wakati ndiyo muda mzuri wa kupata super profit.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Yohanmbatizaji asitudanganye kama watoto wadogo sukari hakuna, wanategemea hiyo waliyo-import ndiyo waingize sokoni. Kama ipo wameagiza ya nini?
Hivi inaingia akilini kusema kuna wafanyabiashara wameficha sukari na waachwe tu huku raia wanateseka kutafuta sukari ilipo?

Unakumbuka kauli ya Gavana wa DSM? Alisema hivyo hivyo na kwamba atapitisha msako mkali na atataifisha akikamata sukari iliyofichwa. Wiki nzima imepita hawajaambulia kitu.

Ukweli ni kwamba kulikuwa na uzembe mkubwa sana ktk kuagiza sukari nje ili kuziba pengo ambalo viwanda vyetu huwa vinaacha. Kuepuka huo uzembe mzigo unasukumiwa kwa wafanyabiashara kwamba eti wameficha sukari.
Atakuwa ni mfanyabiashara mwenye funza kichwani ambaye ataficha sukari kipindi hiki cha uhaba, wakati ndiyo muda mzuri wa kupata super profit.


Sent using Jamii Forums mobile app
Bwashee unapataje super profit na hii bei elekezi?
 
Prof. Keneth Bengesi ambaye ni mkurugenzi mkuu wa bodi ya sukari amesema taifa lina sukari ya kutosha na huu uhaba bandia umesababishwa na wafanyabiashara wasio waaminifu kuficha bidhaa hiyo.

Prof Bengesi amesema kwa sasa kuna tani nyingi za sukari zinashushwa bandarini Dsm lakini pia kuna tani za kutosha ambazo tumeimport kutoka Malawi ziko mpakani Kasumulu zinafanyiwa clearance ni zitaingia madukani muda wowote ule kuanzia leo.

Bengesi amesema yatafanyika marekebisho ya bei elekezi ya sukari kwa baadhi ya mikoa ikiwemo Dsm, Tanga, Arusha nk

Chanzo: Channel ten!
Kwa umri wangu nilikuwapo Dar es Salaam mwaka 1982-84 wakati wa kipindi cha maduka ya kaya. Hicho ndiyo kipindi tulikuwa tunapanga foleni ya sukari, mchele nk. Mzee Ali Hassan Mwinyi akaingia mwaka 1985 akafanya soko huria la biashara. Kwamba kila mwenye mtaji alete biashara yeyote kwa kufuata sheria. Ndiyo ikawa mwisho wa maduka ya kaya na kuvaa sulfate badala ya nguo na biashara ya mitumba ikashamiri. Hali iliendelea kuboreshwa kadri miaka ilivyokwenda mbele na BWM naye akapokea kijiti akaendeleza. Naye JK hivyo hivyo akazidi kuifanya Tanzania nchi ambayo ni mahali pazuri pa kuishi. Huyu JIWE kibwengo wa Kinywarwanda ameturudisha nyuma miaka 50 kutuletea foleni ya sukari. Mwaka 2016 alivuruga kabisa biashara ya sukari kwa kuwaingilia importers na kuwaita mafisadi. Na mwaka 2018 akaharibu biashara ya korosho na mwaka 2020 anashindwa kusimamia ugonjwa wa COVID 19

Hivi kweli Serkali haina mambo ya muhimu kufanya mpaka kuanza kujadili mambo ya sukari???

Jamani CCM leteni mtu mwingine atawale huyo muacheni Chato awe Rais wa huko. Mbona tayari anayo Airport na traffic lights na sebule ya kuwaapisha kina Mwigulu Nchemba
 
Chadema sijui watasema nini
Watasema beberu kanywa bia yetu

1589182369956.png
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom