Bodi ya mikopo ya elimu ya juu.

Bodi ya mikopo ya elimu ya juu.

baiser

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2014
Posts
1,487
Reaction score
2,261
Ndugu wana jf kuna ndugu yangu alikua anaomba mkopo ila katika kujaza form online amekutana na utata huu
1.Ukitumia browser ya moxilla firefox -upande wa kuselect district mtu anatokea inagoma haioneshi mpaka utumie google chrome
2.ukifika kwenye section ya wazamini ukitumia browser kama moxilla firefox,operamin,internet explore na google chrome -kuna sehemu inasema pick your guarantor na upande wa pili kuna kiduara na neno mother kama mdhamini ambacho huwez kukibadili ili uweke mdhamini unayemtaka .
Kama kuna mtu amekutana na changamoto hii atujuze ili tuone tunalitatua vipi
N:B help desk support hua sim hazipokelewi
 
Back
Top Bottom