Ni kwa wale wenye uhitaji tuu ( yatima na kilema)Hatimaye bodi ya mikopo yawapa mikopo wanafunzi wote wenye uhiitaji na majina yataaanza kutolewa jioni hayo yamesemwa na mkurugenzi mtendaji wa bodi ya mikopo alipokuwa akihojiwa na clouds radio fm . Tusubiri tuone inakuweje.
2020 fanya kweli.Daaah mimi ni yatima nimeambatanisha vyote daaah lakin wameniacha hawa jamaaa mm siwaelewagi
Kwa hiyo unajifurahisha kuandika hiyo habari? kuna yatima ana Div 1 kakosa mkopo alikuwa asome chuo cha vipanga UDSM analia machozi kwa ndoto yake kukatishwa halafu wewe unaleta siasa? ndio maana Juma Mahararage anasema anashukuru uchumi umeongezeka kumbe umepungua.Sijajua
Sijifurahishi sasa kulia kwenye gazeti ndo apewe mkopo? Nchi haiendeshwi kwa kulialia kwenye vyombo vya habari unasikia kaka? Hiyo habari imesomwaa baada ya kusomwa ndio akahojiwa huyo mkurugenzi wabodi ya mikopo. Na akasema wale uhiitaji watapangiwa leo sasa kujua kama amepata au hajapata mm sijui? Au ulitaka nikwambie amepata nawewe ukalielie kwenye magazeti ili upatr.Kwa hiyo unajifurahisha kuandika hiyo habari? kuna yatima ana Div 1 kakosa mkopo alikuwa asome chuo cha vipanga UDSM analia machozi kwa ndoto yake kukatishwa halafu wewe unaleta siasa? ndio maana Juma Mahararage anasema anashukuru uchumi umeongezeka kumbe umepungua.
Kwahiyo wamesema jioni? Hebu wawe wakweli bhana wataua watoto kwa Msongo wa mawazoSijajua
Braza naomba nchek wasap 0657667060 unielekeze meridian apps ilo ndo lililobakiaHakikisha una app ya m-bet, meridian bila kusahau kusave bookmark mkekabet.com Hawa jamaa ni waaminifu sana Pesa yao haichelewi wala haina dodoso haina rufaa, haina priority