Bodaboda wa usiku wengi ni Walimu

Bodaboda wa usiku wengi ni Walimu

Walimu wengi, hasa wa kwenye shule zilizopo mijini wanamiliki bodaboda , hivyo usiku wanakesha kuongeza kipato Kwa kupakia abiria.

Mchana wanapiga vipindi, usiku wanatega na kutupakia sana.

Hii ni nzuri maana wanajiongeza ili kujikwamua kiuchumi.

Bodaboda wa usiku ni Walimu wanaotufundishia watoto wetu, tuwaheshimu sana.
Huwa wanakuonesha na vitambulisho vyao vya kazi?
 
Mkuu bajaji iliyotumika Kwa miaka Sita unasema bado mbichi hujui mkopo wa mil 8 Kwa ticha ni deni la miaka kumi Kwa riba ya million Tatu
Wapi nimesema bajaji imetumika miaka sita?
Alikatwa 300 kwa mshahara, na to deposit 500 from bajaji sales kwa mwaka alilipa around 10 m

Tena kanunua uwanja November last year na chuma mbichi
 
Walimu wengi, hasa wa kwenye shule zilizopo mijini wanamiliki bodaboda , hivyo usiku wanakesha kuongeza kipato Kwa kupakia abiria.

Mchana wanapiga vipindi, usiku wanatega na kutupakia sana.

Hii ni nzuri maana wanajiongeza ili kujikwamua kiuchumi.

Bodaboda wa usiku ni Walimu wanaotufundishia watoto wetu, tuwaheshimu sana.
Tunakoelekea itatulazimu kufanya kazi zaidi ya moja
 
Vyuo vimefungwa hivi kazi tunayo zitakuja nyuzi za hovyo hovyo mpaka vifunguliwe sio leo...
 
Walimu wengi, hasa wa kwenye shule zilizopo mijini wanamiliki bodaboda , hivyo usiku wanakesha kuongeza kipato Kwa kupakia abiria.

Mchana wanapiga vipindi, usiku wanatega na kutupakia sana.

Hii ni nzuri maana wanajiongeza ili kujikwamua kiuchumi.

Bodaboda wa usiku ni Walimu wanaotufundishia watoto wetu, tuwaheshimu sana.
kosa lao nini?
 
Ni jambo jema san kwa kujiongeza. Baki unawashangaa hivyo hivyo. Kuwa na vyanzo vingi vya mapato kadri inavyowezekana. Unashangaa kwasababu watz ni wavivu. Japani/china muda wa kazi ni 16-20hrs per day.marekani watu wana kazi mpaka 4 kwa siku. Unashangaa nini sasa. Fungua boga lako hilo.

Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
 
Hii ni hatari, kazi za usiku tena za bodaboda tunajua Matokeo yake wengi wanabakwa na kuuawa kabisa. Walimu ni waajabu sana hawana creativity yoyote Ile kila biashara nizakishamba na kitahila, wangejielewa wadai haki zao za posho, posho Kwa mtumishi wa umma ni lazima kwnn mwalimu hapati allowance ya maladhi na chakula kama wengine? Kwann Hana vikao vya Mara Kwa Mara kama madaktar?, kwann hawalipwi per diem na overtime kama wengine?, walimu wanaishi kama wapo kuzimu mpaka inawalazim wafanye kazi usiku kama vibaka

Walimu walimu walimu
Maladhi = malazi. We jamaa ni mshamba na una roho ya kimaskini mno. Umeshapata mtu wa kumpa kinyeo akulipe milioni 50?
 

Attachments

  • Screenshot_20230219-162253_Chrome.jpg
    Screenshot_20230219-162253_Chrome.jpg
    72.3 KB · Views: 6
Itakuwa maticha walikula ndogo Yako,siyo Kwa povu hilo
Huyo Mpwayungu ukiwa na milioni 50 anakupa kinyeo. Kauli yake hii hapa. Ni fukara.
 

Attachments

  • Screenshot_20230219-162253_Chrome.jpg
    Screenshot_20230219-162253_Chrome.jpg
    72.3 KB · Views: 4
Walimu wengi, hasa wa kwenye shule zilizopo mijini wanamiliki bodaboda , hivyo usiku wanakesha kuongeza kipato Kwa kupakia abiria.

Mchana wanapiga vipindi, usiku wanatega na kutupakia sana.

Hii ni nzuri maana wanajiongeza ili kujikwamua kiuchumi.

Bodaboda wa usiku ni Walimu wanaotufundishia watoto wetu, tuwaheshimu sana.
Naunga mkono hojabinafsi nawajua wawili ni majirani zangu kabisa mmoja nilikutana naye njiani usiku wa saa tano natoka lodge nikaita boda kumpakia demu alipofika nikastukia ni yeye ila hakunitambua
 
Nilikuwa naisubili comment yako hapa, ila angalau kidogo umepunguza ukali
Kapouwa siku hizi baada ya wadau kumpiga spana kwa ushahidi kuwa yeye ni mwalimu anayesubili ajira akaona atulie wasije mdharirisha zaidi ya hapo
 
Hapana sio kweli La kama ni kweli mpwayungu village aje atueleweshe...
alishaleta uzi hapa kwamba bodaboda anauwezo wa kuingiza kipato zaidi ya mwalimu!!!

mpwayungu village zile bodaboda ndio hizi za usiku wanazopga walimu??
au wamejiongeza baada ya kusoma bandiko lako.
Wamejiongeza kibwege, mwalimu ni mtumishi wa umma inabidi wademand haki zao kwanza wakizipata waanze harakati za kufanya biashara zenye tija
 
Back
Top Bottom