Bodaboda wa usiku wengi ni Walimu

Bodaboda wa usiku wengi ni Walimu

Walimu wengi, hasa wa kwenye shule zilizopo mijini wanamiliki bodaboda , hivyo usiku wanakesha kuongeza kipato Kwa kupakia abiria.

Mchana wanapiga vipindi, usiku wanatega na kutupakia sana.

Hii ni nzuri maana wanajiongeza ili kujikwamua kiuchumi.

Bodaboda wa usiku ni Walimu wanaotufundishia watoto wetu, tuwaheshimu sana.
Bila walimu usingejua kuandika, acha masimango.
 
Hii ni hatari, kazi za usiku tena za bodaboda tunajua Matokeo yake wengi wanabakwa na kuuawa kabisa. Walimu ni waajabu sana hawana creativity yoyote Ile kila biashara nizakishamba na kitahila, wangejielewa wadai haki zao za posho, posho Kwa mtumishi wa umma ni lazima kwnn mwalimu hapati allowance ya maladhi na chakula kama wengine? Kwann Hana vikao vya Mara Kwa Mara kama madaktar?, kwann hawalipwi per diem na overtime kama wengine?, walimu wanaishi kama wapo kuzimu mpaka inawalazim wafanye kazi usiku kama vibaka

Walimu walimu walimu
Nilijua lazima uje tu, na inawezekana pia muanzisha Uzi ni wewe, hivi Walimu wetu walikufanya nini Mkuu?
 
Hamna mbaya, namjua mwalim alikopa 8 million akanunua Bajaj, anaendesha mwenyewe, mkopo kamaliza bajaji bado mbichi
Mkuu bajaji iliyotumika Kwa miaka Sita unasema bado mbichi hujui mkopo wa mil 8 Kwa ticha ni deni la miaka kumi Kwa riba ya million Tatu
 
Kumbe ndo maana wanaweza kuyamudu maisha ya dar

Nilikuwa najiuliza kwa laki 3 wanawezaje kutoboa mwezi mzima

Kumbe wanapata 30,000 kila siku kwenye bodaboda

iLa kitu ambacho sasa kinanishangaza kutoka kwa hawa majamaa ni kula hv vitoto vya primary,huwa nashangaa nikifika kwenye hzo shule za primary nakosa kabisa kuona kitoto ambacho kitaonekana kinaweza kuingiliwa lakin jamaa wanavitafuna hvyo hvyo,sjui wanatumia kilainishi gani
 
Back
Top Bottom