Bodaboda wa usiku wengi ni Walimu

Bodaboda wa usiku wengi ni Walimu

Walimu wengi, hasa wa kwenye shule zilizopo mijini wanamiliki bodaboda , hivyo usiku wanakesha kuongeza kipato Kwa kupakia abiria.

Mchana wanapiga vipindi, usiku wanatega na kutupakia sana.

Hii ni nzuri maana wanajiongeza ili kujikwamua kiuchumi.

Bodaboda wa usiku ni Walimu wanaotufundishia watoto wetu, tuwaheshimu sana.
Waalimu walipwe vizuri ili usiku watulie na familia zao pamoja na kupimzika na kujiandaa kwa siku ijayo la sivyo elimu yetu itaporomoka.
 
Tusiwacheke walimu jamani, tuwasaidie waongezewe mshiko na mazingira bora kazini.

Mimi nakumbuka enzi hizo nilikuwa nakula uwaka kwa boda ya teacher namplekea kifuta jasho.
 
iLa kitu ambacho sasa kinanishangaza kutoka kwa hawa majamaa ni kula hv vitoto vya primary,huwa nashangaa nikifika kwenye hzo shule za primary nakosa kabisa kuona kitoto ambacho kitaonekana kinaweza kuingiliwa lakin jamaa wanavitafuna hvyo hvyo,sjui wanatumia kilainishi gani

 
Tuendako mitaji itakua, watanunua daladala wanaacha kazi na ualimu inabaki kuwa kazi ya wamama

Kuna wengine wengi kutokana na masimango hivi sasa wanafungua glosary
kuna mmoja ana glossary yake mbona tukiiishiwaga tunakopa sio poa walimu wako poa
 
Ivi waalimu ndo wanalipwa hela ndogo zaidi eeh su sekta zingine znajiweka tu smart lkn hela hakuna
 
Jamani tuwaheshimu walimu.
Umenikumbusha jana nimekutana na mwalimu wangu wa primary kwenye mgahawa mmoja hapa karibu na Sky city mall.

Nimefurahisana tuliongea karibua masaa matatu katika storistori wakati tuna pata coffee capachino akaniambia we Nech, "jina la utoto shuleni" unajua mimi ndio nilikufundisha " a " ipokama kikombe daah nilicheka sana.

Anyway, tuwaheshimu walimu, kama unamkumbuka mwalimuwako na Mungu amekujalia kipato kidogo please mtumie ka tip.
 
Back
Top Bottom