Thread ClosedNi hivi:-
Wanawake wengi bila kujali vipato vyao wanapenda sana urahisi, yaani hawako tayari kupata taabu kwa kitu ambacho kuna sehemu kinapatikana hata kwa gharama ya mwili.
Kiujumla mwanamke ana safari nyingi kwa siku kuliko mwanaume; ataondoka kwenda sokoni (bodaboda), vikoba(bodaboda), kumjulia hali mgonjwa Hosp(bodaboda), Saluni(bodaboda) nk. Ukipiga hesabu kwa siku wengine wanafikisha elfu 6 kwa bodaboda tu.
Taabu inaanza pale bodaboda huyo anapokubali kumkopesha huduma hiyo, mwisho wa siku malipo ya fedha yanageuka malipo ya mwili.
Pili, ni kwamba bodaboda wanatumika sana kuwapeleka wake za watu kwenye michepuko au kuchukua vitu kwa michepuko kupelekea wake za watu. Bodaboda wa aina hii akikomaa kwamba atatoa siri lazima anunuliwe kwa Papuchi.
Mengine, Yaliyomo yamo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wengi wamekosa maadili basi kwa sasa mama,maana daah...Ni ukosefu wa maadili tu.
Mwanamke anayejiheshimu hafanyi upuuzi huo na bodaboda anayejiheshimu hafanyi upuuzi huo.
Tutapona kweliNi hivi:-
Wanawake wengi bila kujali vipato vyao wanapenda sana urahisi, yaani hawako tayari kupata taabu kwa kitu ambacho kuna sehemu kinapatikana hata kwa gharama ya mwili.
Kiujumla mwanamke ana safari nyingi kwa siku kuliko mwanaume; ataondoka kwenda sokoni (bodaboda), vikoba(bodaboda), kumjulia hali mgonjwa Hosp(bodaboda), Saluni(bodaboda) nk. Ukipiga hesabu kwa siku wengine wanafikisha elfu 6 kwa bodaboda tu.
Taabu inaanza pale bodaboda huyo anapokubali kumkopesha huduma hiyo, mwisho wa siku malipo ya fedha yanageuka malipo ya mwili.
Pili, ni kwamba bodaboda wanatumika sana kuwapeleka wake za watu kwenye michepuko au kuchukua vitu kwa michepuko kupelekea wake za watu. Bodaboda wa aina hii akikomaa kwamba atatoa siri lazima anunuliwe kwa Papuchi.
Mengine, Yaliyomo yamo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuuh...! Kwa hiyo nyie ni kimbilio kwa sasa. [emoji1015][emoji1015][emoji1015][emoji1015]kwenye anga zanguSisi bodaboda huwa huwa tunapewa penzi na wake za watu kutokana na sababu zifuatazo:
1.Huwa tunapewa penzi kama mbadala wa nauli
2.Wake za watu ambao huwa wana bifu na waume zao huwa wanatupa penzi la bure kama kulipiza kisasi kwa wanaume zao![emoji1][emoji1][emoji1]
3.Wake za watu wengi waume zao huwa wako busy na kazi kwa hiyo huwa hawatoshelezi wake zao na wake zao huwa wanaishia kutushobokea
4.Sababu nyingine ni urafiki na ukaribu mkubwa uliopo kati yetu sisi na wake za watu kutokana na kuwababe kila siku
5.Sisi bodaboda tupo sexy na tuna miili mizuri kuliko hao waume zao![emoji1][emoji1][emoji1]
Umasikini, hali ngumu ya kimaisha na kuwa na tamaa, kutokuwa na elimu ya dini nayo huchangia mporomoko wa maadili kwa kasi kubwa sana.
Sister hapo utakuta wengine wana kipato kizuri tu,kama wale jamaa kwenye thred za juzi wanawalalamikia wake zao kuwahonga bodaboda-kwa hiyo labda hao wanaangukia ktk kuporomoka kwa maadiliUmasikini, hali ngumu ya kimaisha na kuwa na tamaa, kutokuwa na elimu ya dini nayo huchangia mporomoko wa maadili kwa kasi kubwa sana.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]wanafuatia watu wa bucha[emoji23]..anakuambia nakupa nyama nzuri km ww..km hujielewi kwisha habari yako[emoji57]
hahhaa hayo hayo maneno
Kweli eeeh...! Ili na wewe ukakague?Ngoja nipambane ninunue Toyo halafu nianze.Ila nitakuwa bodaboda msafiii mwili,mavaz,n.k
Sent using Jamii Forums mobile app
Avator🥰Mimi ni mwanamke...ila hakuna kundi linaloongoza kutongoza km maboda boda...tena sio kutongoza tu boda boda wamejikita kutongoza wake za watu...yaan had unachefukwa...sasa inategemeana na aina ya mwanamke...wanasweat siku nzima..ptu...niishie hapa
Nasikia ule mnesoneso was bodaboda huwatekenya na hivyo kupandwa na mzuka haraka. Na bodaboda walishaligundua hili, wanawapitisha sana sehemu mbovu za barabara ili kuzalisha minesoneso mingi hahahaSisi bodaboda huwa huwa tunapewa penzi na wake za watu kutokana na sababu zifuatazo:
1.Huwa tunapewa penzi kama mbadala wa nauli
2.Wake za watu ambao huwa wana bifu na waume zao huwa wanatupa penzi la bure kama kulipiza kisasi kwa wanaume zao![emoji1][emoji1][emoji1]
3.Wake za watu wengi waume zao huwa wako busy na kazi kwa hiyo huwa hawatoshelezi wake zao na wake zao huwa wanaishia kutushobokea
4.Sababu nyingine ni urafiki na ukaribu mkubwa uliopo kati yetu sisi na wake za watu kutokana na kuwababe kila siku
5.Sisi bodaboda tupo sexy na tuna miili mizuri kuliko hao waume zao![emoji1][emoji1][emoji1]
Zafoxy lini umeanza kuwa Na busara za hivo,hongera ndo 2019 hioNi ukosefu wa maadili tu.
Mwanamke anayejiheshimu hafanyi upuuzi huo na bodaboda anayejiheshimu hafanyi upuuzi huo.
Avator🥰[/QUOTE
unawashwa washwa.....imefanyaj
Tunatumia kingaUkimwi hautawaacha salama hao