Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,694
- 40,958
Hivi kwanini boda boda akimchukua mtu kumpeleka mahali lazima amshushe mlangoni kabisa kila mtu ajue mhusika kaenda nayo halafu sauti inakua kuubwa mziki kila mtu anasikia.
Mtu anaenda kempiski unamshushia pale reception nomaa sana.
Mjiongeze jamani.
Mtu anaenda kempiski unamshushia pale reception nomaa sana.
Mjiongeze jamani.