Time and Space tells.....
Bob;
Kwa wakati wake alitunga na kuimba sana kuhusu Liberation Struggles & Movements za mtu mweusi coz kwa wakati wake hadhi na thamani ya mtu mweusi na haswa bara la Africa ilikuwa chini sana and thats why akaimba sana kuhusu ukombozi. And thats why akaimba nyimbo kama Africa Unite, Buffalo Soldier, Zimbabwe, Redemption Songs etc, etc.
Lakini wakati huo pia kwa kuwa reggea ni nyimbo za dini, mapenzi, harakati na umoja pia akawa anaimba nyimbo kuhamasisha upendo na mshikamano kwa wote nyimbo kama One love, Stir it up etc, etc. So kimsingi Bob focused alot on Liberation.
Lucky Dube;
Wakati wake Liberations sehemu kubwa zilikuwa tayari ila kukawa sasa kuna vitu kama classes & class struggles within the society. And kimsingi wakati wa presentations wa kazi zao Dube alikuwa with a very limited auduence mwa maana kwamba Dube audience yake kubwa ilikuwa based in Africa.
On the other hand Marley had a wider scope of audience. Coverage yake ilikuwa worldwide.