Bob Amsterdam ni Mamluki; Watanzania tuweni macho sana

Kwahiyo makamanda siku hizi mna fashion mpya; kila kamanda ana mercenary wake?
Mbona meko ana mamluki wake kutoka Burundi husemi?? Na wewe pia ni mamluki wa meko kwa njia moja au nyingine na so far hujui unachotetea uko kushabikia zaidi

Go back to school
 
Mbona meko ana mamluki wake kutoka Burundi husemi?? Na wewe pia ni mamluki wa meko kwa njia moja au nyingine na so far hujui unachotetea uko kushabikia zaidi

Go back to school

Do you seriously want me to go back to school? Enjoy cover ya JF. Jukwaa zuri sana hili; linamwezesha hata ambaye hakusoma kumuambia msomi hajasoma! What else can you ask for?
 
angekua upande wenu angekua mhisani,mshirika na rafiki lakini akiwa upande wa pili ni mamluki?
 
angekua upande wenu angekua mhisani,mshirika na rafiki lakini akiwa upande wa pili ni mamluki?

Sio kawaida kwa nchi yoyote kuwa na foreign actors kwenye chaguzi zake. Watu wasiokuwa waadilifu wanaifanya hii nchi kuwa shamba la bibi!
 
Yaliyotokea huko Tanzania uliwahi yasikia yakitokea kwenye hizo nchi ulizofanyia refernce?
Pathetic
 
Robert Amsterdam Babu zake ndio waliowafanya Babu zetu watumwa, waliwaambia eti hawana uwezo wa kujitawala.

Sasa hao hao ndio wametuletea demokrasia na sasa wanataka tujitawale.

Huu upendo wa ghafla umetokea wapi?
Bora utawala wa wakoloni kuliko huo utawala wa ccm, siku wananchi wakiona kuna watu wanataka kuwatwanga lazima watawaunga mkono maadui zenu
 
Bora utawala wa wakoloni kuliko huo utawala wa ccm, siku wananchi wakiona kuna watu wanataka kuwatwanga lazima watawaunga mkono maadui zenu

Kama mali ya urithi isivyokuwa na uchungu, uhuru uliopiganiwa na babu zako nao hauna uchungu. Ndiyo maana unatamani utawala wa wakoloni.

Kama babu yako alikuwepo wakati wa utawala wa mkoloni na bado yuko hai, kampe huo msimamo wako kisha utupe mrejesho!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…