Bnadamu mzee dunan afark duna

Miaka 116 ndiyo mzee?, hiko ni kibint tu kwa bibi yangu ambaye alikufa akiwa na umr wa miaka 145, hao Guiness ni wabaguz tu kwanini rekodi zote zivunjwe na watu weupe!
hata mimi nashangaa mkuu! Babu yangu mzaa mama alifariki dunia akiwa na umri wa miaka 119! Ni utaratibu upi wanaotumia kupata hizi taarifa na mimi nipeleke?? Ubaguzi wa rangi umewajaa hawa watu!!
 
hata mimi nashangaa mkuu! Babu yangu mzaa mama alifariki dunia akiwa na umri wa miaka 119! Ni utaratibu upi wanaotumia kupata hizi taarifa na mimi nipeleke?? Ubaguzi wa rangi umewajaa hawa watu!!

rekod zote za dunia zipo kwenye Guiness,babu yako nan anamjua.
 
unataka kuniambia hata marehamu bi kidude r.i.p. binti baraka alikuwa anasubiri?
 
nan anajua umri wake

yeye mwenyewe alikuwa anakwambia Enzi za vita gani sijui vya long time kishenzi alikuwa kigori tu na sio vita ya dunia,long time zaidi ya vita ya dunia ya mwisho,umri wake mwenyewe alikuwa haukumbuki yeye alikuwa anakumbuka matukio tu sasa itakuwa huyo anayejua kila kitu mkuu?
 
Hawa watu wa Kitabu cha Guinness huwa wanafanya utafiti hafifu sana, sijui ni kwa makusudi ama kwa upendeleo maalum! Ila ki ukweli, miaka 116 si ya kuvunja rekodi ya dunia! Waje kijijini kwetu wakutane na Mzee Badalaha Kizimya Kibungi anayekimbilia miaka 130 kwa sasa.
 
Miaka 116 ndiyo mzee?, hiko ni kibint tu kwa bibi yangu ambaye alikufa akiwa na umr wa miaka 145, hao Guiness ni wabaguz tu kwanini rekodi zote zivunjwe na watu weupe!

Ushahidi ndio muhimu, alipozaliwa bibi yako ulikuwepo hata ushadidie?
 
Hawa watu wa Kitabu cha Guinness huwa wanafanya utafiti hafifu sana, sijui ni kwa makusudi ama kwa upendeleo maalum! Ila ki ukweli, miaka 116 si ya kuvunja rekodi ya dunia! Waje kijijini kwetu wakutane na Mzee Badalaha Kizimya Kibungi anayekimbilia miaka 130 kwa sasa.

mkuu,hawajui huku kwetu tz kuna wazee hata hawajiwezi kazi yetu tunawatoa asubuhi kitandani tunawaanika juani,halafu tunawarudisha wakalale,saa nyingine tunawakuna,tunawalisha,kila kitu hawajiwezi,wao wanatuletea habari zao za kupika,halafu kila siku wanaovunja rekodi ni wao wazungu au waasia tu ina maana huku kwetu Africa kila kitu tupo nyuma tu,kiuchumi sawa,hata hili la uhai pia??,hata kama life span yetu sio kubwa sana ila wapo watu waliovunja hiyo mirekodi yao na hawataki kuwatambua,hii mijitu ipo bias sana na ndio maana mi siwakubali kabisa
 
Ushahidi ndio muhimu, alipozaliwa bibi yako ulikuwepo hata ushadidie?

Acha ujinga wewe, unataka kuniambia kwamba wkt anazaliw huyo mtu mzee zaid kw upande watu weupe, hao guinness walikuwepo?
 
Back
Top Bottom