Bnadamu mzee dunan afark duna

Kwa hao watanzania wenye miaka 120+, maana yake walizaliwa miaka ya 1800s. Sasa ikiwa tu wale waliozaliwa mwanzoni mwa 1900s hawajui exactly walizaliwa lini kutokana na kutojua hata Kalenda ni nini, je mnathibitisha vipi mpaka kusema mtu ana miaka 120. Hao wa 1900s ukiwauliza tarehe ya kuzaliwa, wapo wanaosema mimi nilizaliwa msimu wa nzige, mwingine anakwambia msimu ule wa radi nyingi, sasa hapo unajuaje umri kamili wa mtu?
Hata ukiangalia watanzania wengi waliozaliwa 1950 kwenda chini wengi wao hawana hata vyeti vya kuzaliwa.

halafu tuseme wazungu wanapendlewa wakat wanatunza rekod na sie tunatunza misimu
 
Miaka 116 ndiyo mzee?, hiko ni kibint tu kwa bibi yangu ambaye alikufa akiwa na umr wa miaka 145, hao Guiness ni wabaguz tu kwanini rekodi zote zivunjwe na watu weupe!

sure wapo wazee moshi huko wana zaidi ya 120 bado wanapeta
 
Bibi yangu mzaa mama ana miaka 120 na bado yupo mzima naongea naye kwenye simu. Ni miezi michache tu ameanza kushindwa kwenda ibada peke yake. Anafahamu wajukuu wote kwa majina, vitukuu na vilembwe. Ni mcheshi hana malalamiko. That is moyo wake ni mweupe hana mawazo potofu. Nina amini bibi yangu huyu ameishi miaka mingi kwa kuwa ni mwepesi sana kusamehe na kufurahia maisha. Analelewa na mtoto wake wa mwisho wa kiume (naye ni over 60 years) na hana tabu hata kidogo kwa mkwe wake. My bibi tumempa jina "British". Tukimaanisha si msumbufu. Hao Guness waje Africa watangaze nasi tupeleke wazee wetu.

wow it sounds nice.
 
Kwa hao watanzania wenye miaka 120+, maana yake walizaliwa miaka ya 1800s. Sasa ikiwa tu wale waliozaliwa mwanzoni mwa 1900s hawajui exactly walizaliwa lini kutokana na kutojua hata Kalenda ni nini, je mnathibitisha vipi mpaka kusema mtu ana miaka 120. Hao wa 1900s ukiwauliza tarehe ya kuzaliwa, wapo wanaosema mimi nilizaliwa msimu wa nzige, mwingine anakwambia msimu ule wa radi nyingi, sasa hapo unajuaje umri kamili wa mtu?
Hata ukiangalia watanzania wengi waliozaliwa 1950 kwenda chini wengi wao hawana hata vyeti vya kuzaliwa.
Acha kunisimanga! nimezaliwa 1970's believe just got my birth certificate 7 yrs ago tena babada ya kutokea issue ya passport.unavyosema ni kweli kabisa kwa miaka hiyo si rahisi kuwa na kumbukumbu sahihi ,hao wanawaangalia wazee wao walivyo chakaa wanafikiri wamekula chumvi nyingi .mzee wa over 130 hata kujisaidia haja mwenyewe matatizo sasa wengine humu wanadai vikongwe wao wanalima!
 
wapo watu wanaishi miaka mingi sema hawatangazwi, ila walio katika ulimwengu wa kufikiwa kirahisi na kusikika kwenye vyombo vya habari ndio hao tunaowasikia.

Tatizo vyeti vyao havipo, hii inakuwa shida kuamini iwapo huo umri ni sahihi

Sent from my HTC Desire S using Tapatalk 2
 
Acha kunisimanga! nimezaliwa 1970's believe just got my birth certificate 7 yrs ago tena babada ya kutokea issue ya passport.unavyosema ni kweli kabisa kwa miaka hiyo si rahisi kuwa na kumbukumbu sahihi ,hao wanawaangalia wazee wao walivyo chakaa wanafikiri wamekula chumvi nyingi .mzee wa over 130 hata kujisaidia haja mwenyewe matatizo sasa wengine humu wanadai vikongwe wao wanalima!

huku tnawah kuzeek,mazngra yana changia
 
Miaka 116 ndiyo mzee?, hiko ni kibint tu kwa bibi yangu ambaye alikufa akiwa na umr wa miaka 145, hao Guiness ni wabaguz tu kwanini rekodi zote zivunjwe na watu weupe!

Kweli mkuu kwani afrika wapo ambao mpaka ssa wako hai na wanaumri zaidi ya huo, labda watuambie ni mtu mzee kuliko wote weupe
 
Back
Top Bottom