Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,190
- 174,313
Kwenye kms laki 1 au zaidi incase unaitunza vizuriAsante sana mkuu. Ni mpya ina km 51,000/ hivi itaanza kumisumbua ikifik km ngapi?
Kwenye kms laki 1 au zaidi incase unaitunza vizuriAsante sana mkuu. Ni mpya ina km 51,000/ hivi itaanza kumisumbua ikifik km ngapi?
Hizi gari zinakotoka tu wenyewe wanalalamika, ije kua bongo.Kuna garage nimekuta Disco 4 . siwezi sema zimetelekezwa ila zimekaa kitambo.
Moja ya sababu naelewa ni gharama za matengenezo ambazo mtu akiambiwa lazima akajipange kwanza ba gari haiendesheki
PointHizi gari zinakotoka tu wenyewe wanalalamika, ije kua bongo.
Nilitaka niseme the same thing..Hizi gari zinakotoka tu wenyewe wanalalamika, ije kua bongo.
Mwenyew nshaiogopa tn hilo gari sipandi😂Gar ya kuiogopa hii
okayMwenyew nshaiogopa tn hilo gari sipandi😂
Hii picha najaribu kuisoma Pana kitu apa