BMW SUV (X3,X5) zinatelekezwa garage

BMW SUV (X3,X5) zinatelekezwa garage

Wakuu nimeshuhudia hizi gari zikitelekezwa Garage kadhaa hapo Dar. Wamiliki wamechemsha kuzimaintain? Tuachane na kumiliki gari kwa kufuata mkumbo.
MC pilipili like X3 lake sijui kalificha wapi siku hizi

View attachment 2682010View attachment 2682011View attachment 2682012
Hizi ni gari za kipekee ndio maana ni rahisi kuonekana! Garage hata ikiwa na gari 40 za kijapan na BMW mbili na Range 3, hizi zitafunika zile 40 za kijep

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umaskini ndio tatizo, unakopa benki milioni 35, unamvua mtu Disco 4 milioni 30 ili uvimbe nalo mjini. Unaenjoy nalo baada ya miezi mitatu linakorofisha linazima.

Unalikokota mpaka gereji unaambiwa mpaka lipone inatakiwa uweke milioni nane mezani. Unaamua kulikacha ujipange mdogo mdogo. Linabaki kua screpa la madogo wanaosadia fundi kupumzikia na kuvutia sigara gereji.
Issue kubwa Gari hizi hazina mafundi specialist ila wababaishaji
 
Unampelekea fundi anajifanya anapima na mashine kumbe naye mwizi tu, tatizo dogo anataka atajirikie hapo
Hakuna wapumbavu kama Hawa Vijana wapima na machine, hawajui kutafsiri codes wanakubambikia ugonjwa Mkubwa katika Gari lako, Mimi walishaninunulisha turbo wakati Gari ilikuwa na shida ya nozzle, very useless
 
Hakuna wapumbavu kama Hawa Vijana wapima na machine, hawajui kutafsiri codes wanakubambikia ugonjwa Mkubwa katika Gari lako, Mimi walishaninunulisha turbo wakati Gari ilikuwa na shida ya nozzle, very useless
Ndiyo twarudi pale pale mafundi wengi wa Bongo wanataka watumie wenye magari kutajirika, hivyo magari mengi yanajikita yanashinda garage.
 
Mjapan ukiwa na 200k unafanya service saafi kabisa, sasa njoo mzungu oil pekee 150k+ hujqgusa filter, hydraulic, brakepades, hujagusa Sparkcoils, airfilter Nk.
Ukimaliza fundi amekaa palee ana kimashine cha POS 🤣🤣🤣🤣 au Lipa namba
Hahah, Service ya 200K mpaka brake pads?

Kweli spea za bei rahisi, mchina kawaokoa sana.
 
Mjapan ukiwa na 200k unafanya service saafi kabisa, sasa njoo mzungu oil pekee 150k+ hujqgusa filter, hydraulic, brakepades, hujagusa Sparkcoils, airfilter Nk.
Ukimaliza fundi amekaa palee ana kimashine cha POS [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] au Lipa namba
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]daa
 
Umaskini ndio tatizo, unakopa benki milioni 35, unamvua mtu Disco 4 milioni 30 ili uvimbe nalo mjini. Unaenjoy nalo baada ya miezi mitatu linakorofisha linazima.

Unalikokota mpaka gereji unaambiwa mpaka lipone inatakiwa uweke milioni nane mezani. Unaamua kulikacha ujipange mdogo mdogo. Linabaki kua screpa la madogo wanaosadia fundi kupumzikia na kuvutia sigara gereji.
na linakuwa guest kabisa[emoji23][emoji23]
 
Hivi mswaki unamaanisha nini? Na kuna hii kitu wanaita masega. Hivi masega ndio muffler au?
Chukua engine toa takataka zote za pembeni then lile chuma linalobakia katikati ndio mswaki,

Yaani Top cover, Cylinder head, block, sump na timing chain/belt cover na vilivyomo ndani ya engine, vingine vyote toa.
 
Back
Top Bottom