Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,387
- 10,965
Kuna recovery vehiclesYaani gani kuitengeneza mpaka uende Kenya?
kwanza unaendaje? unaibeba kwenye Lorry?
Si mateso hayo sasa?
Kuna recovery vehiclesYaani gani kuitengeneza mpaka uende Kenya?
kwanza unaendaje? unaibeba kwenye Lorry?
Si mateso hayo sasa?
European cars kichomiNdio hao sasa wameyatelekeza.
Utawaambia nini?
ni kweli "huwaambii kitu"
Sinza Kumekucha pale Soprano Garage asimilia 85% ya magari yaliotelekezwa pale (tuseme yanayokaaga miezi mpaka yapone) ni European Cars.
Toyota zilizopata ajali zinaletwa hazichukui hata siku tatu zinarudi kwa Road.