Bluray
JF-Expert Member
- Mar 25, 2008
- 3,449
- 127
Lol, mkuu unamkataa best rapper alive haraka namna hii....
The best rapper alive is dead. Long live the best rapper alive.
Lol, mkuu unamkataa best rapper alive haraka namna hii....
Weezy kaenda platinum ndani ya wiki....
Fiddy....
Possibly Em...
So if Jay is the best rapper how come he's never sold a milli in one week? He's supposed to be the best....
He needs to hang it up and start having a family with his wife. His old a.ss can't rap anymore and he's too damn old to be dressing like Soulja Boy....damn Camel Toe...get it together
Blue Ray, rapper wake ni Wizzy, hahahaha.. lakini Wizzy pia mkali, anfaa kupunguza hiyo syrup (purp) anayoitumia ama atatuacha hapa duniani.
Najua utakubaliana nami nikisema kwa hiyo album mzima Empire State of Mind ndio poa, hizo nyengine sub standard.
try to admit whem your favourite MC faults, mimi kuna time nilimfagilia sana Nas lakini kwa hiyo album yake Nigger, it was evident that he didnt give us his all.
Jay amepungukiwa na material ya ku rap about, when he was rapping about his slinging days he was good, but now with all that money, what can the brother sing about that RickRoss hasn't mentioned in deeper than rap, crab meats??
Ebu tupate updates za mauzo kwanza...
Jay Z - 476,100 (Wiki moja)
Raekwon - 67,900 (Wiki moja)
Fabolous - 220,900 (Miezi miwili)
Eminem - 1,424,600 (Wiki 17)
Huyo Fabolous alimaliza mistari yake yote kwenye Breath, alafu dogo akitoa mixtapes anakuwa mkali kweli kweli ila album mzozo.
Weezy kaenda platinum ndani ya wiki....
Fiddy....
Possibly Em...
So if Jay is the best rapper how come he's never sold a milli in one week? He's supposed to be the best....
He needs to hang it up and start having a family with his wife. His old a.ss can't rap anymore and he's too damn old to be dressing like Soulja Boy....damn Camel Toe...get it together
da unajua nini;kila mtu ana mapenzi yake miongoni mwa hawa real hiphop superstars lakini kwa huyu jamaa(JIGGA) ni mwisho wa shughuri miongoni mwa wale ambao bado wapo ALIVE,the guy is distinguished hiphop superstar...i real admire the guy!! he don need much tym to create mistari is the matter of few seconds...that is very dangerous!
kwani toka lini suala la kwenda platinum in one week ndio likawa kigezo cha rapper bora??if ingekuwa ndio case hiyo tutawatoa kwenye ramani rappers wazuri chungu nzima..the roots hawajawahi kwenda platinum hata mara moja,niambie unawadharau kwa hilo
LMFAO @ camel toe, Game, Nas, and some bloggers(Byron Crawford wa xxl) call the dude a camel, seems like he looks like one up close..LOL.
LOLEST.....You are crazy for this one julius... i cant deny they have a striking resemblance, wonder what Bey saw in that camel oops I mean Jay z.... ooohh, the money, daymn, how could I have missed that.He sure does look like Joe Camel....look at this here
Thats why he's rhymes aint tight, take time to give us something good we can enjoy.. Take for example Rae, he took almost 7 years to give us Only Built For Cuban Link 2, and you cant compare this album to that mixtape Jay gave us. eff blue print,
I bet by now, all ya critics had time to listen and analyze THE BP3.
In the beggining, just like ya, i thought it was lame but boy, BIG HOMMIE did it again.
That shit ain't for the average listener...a lot of word playin and he adressed all the issues i wanted to know!
Ye..Thank You Thank You Thank You...You're Far Too Kind!!!
Coz mi nimechoka bishana na hawa watu,wana'critisize kila kitu...natamani niiweke ile interview yake na XXL..the only dude ambaye yupo mtaani na kwenye boardroom.
Roots who? Puliiiz....
Sasa kama hawajawahi kwenda platinum ubora wao unapimwaje?