Blood groups: Differences and conspiracy theories, ukweli ni upi?

Wadau, naomba kuelimishwa, Je kuna Ulazima wowote wa kujua/ haja ya kuzingatia blood group ya Mchumba kabla ya Kuoana?

Yeah! It is insisted!Ni kweli kuna wengine wana Rhesus negative ambayo ni 15% ktk jamii, Mwanamke anaweza kujifungua mimba ya kwanza lakin zingine itakua ni ngum.Ipo vaccination ambayo hua inafanyika kuprevent tatizo kutokea.Ni vizuri ukajua blood group ya mkeo kuna hata sickle cell nako sio nzuri.
 
Mara nyingi hutolewa ndani ya masaa 24 baada ya kujifungua.hii ni iwapo mama atkuwa na rhesus factor negative na mtt akawa rhesus factor positive ili kuwakinga wajao
 
Yeah! It is insisted!Ni kweli kuna wengine wana Rhesus negative ambayo ni 15% ktk jamii, Mwanamke anaweza kujifungua mimba ya kwanza lakin zingine itakua ni ngum.Ipo vaccination ambayo hua inafanyika kuprevent tatizo kutokea.Ni vizuri ukajua blood group ya mkeo kuna hata sickle cell nako sio nzuri.

Mkuu,

Hiyo vaccine ndio inaitwa Anti D injection?
 
in order to avoid the risk of mother receiving an incompatible during pregnant and birth.
 
Ndiyo!Kuna umuhimu.Wenye BLOOD GROUP B wanahitaji za hospital advanced kwani kuna huduma wanazipata baada ya kujifungua kabla ya kuchanga (infant) kunyonya.Wakizikosa huduma hizo vichanga hufariki.The case is:- Wasipojulikana blood groups zao watoto hufa na watamtafuta mchawi mpaka kesho.
 
Ndiyo!Kuna umuhimu.Wenye BLOOD GROUP B wanahitaji za hospital advanced kwani kuna huduma wanazipata baada ya kujifungua kabla ya kuchanga (infant) kunyonya.Wakizikosa huduma hizo vichanga hufariki.The case is:- Wasipojulikana blood groups zao watoto hufa na watamtafuta mchawi mpaka kesho.

Sio wenye group B bhana ila wenye rhesus factor negative bila kujali kujali ni group gan. Ikitokea hatapata Ant D mtt wakwanza atasurvive ila wanaofuata ndio hufariki.
 
Sio wenye group B bhana ila wenye rhesus factor negative bila kujali kujali ni group gan. Ikitokea hatapata Ant D mtt wakwanza atasurvive ila wanaofuata ndio hufariki.

Mbona mdogo wangu yeye ana A- na ameshajifungua mara mbili na watoto wote anao japo huyo wa pili amemzaa na homa ya manjano ila kwa sasa yuko vizuri je hapo inakuwaje kama mnasema wanaofuata wote hufariki?

Na hiyo sindano ya ant D hajachoma ila mume wake ana O+ vp kuna uhusiano wowote hapo kati ya blood grop yake na mumewe au imetokea tu.
 
Samahan wakuu, naomba msaada, nina mke wang ana group B positive na mim nina B positive, je kuna tatizo lolote kwa kiumbe kijacho?
 
Wakulu wa jukwaa hili eti kwa mfano umezaa na mdada halafu wewe ni group A+ wakati la mama yake ni A+ vipi ikiwa mtoto katoka na group O+ inawezekana kibaologia au ndio nimebambikiwa mtoto sio wangu? Nauombe ushauri tafadhani je inawezekana blood gropu yangu itofautiane na ya mwanangu?

Inawezekana, wanasema group A inaweza kuwa pure AA au AO hivyo kuwa na mtoto group O ni sawa iwapo wewe ni AO na mkeo AO mtoto kachukua OO yako na mamake kawa O pure. Theory iko ivo
 
Mbona mdogo wangu yeye ana A- na ameshajifungua mara mbili na watoto wote anao japo huyo wa pili amemzaa na homa ya manjano ila kwa sasa yuko vizuri je hapo inakuwaje kama mnasema wanaofuata wote hufariki?

Na hiyo sindano ya ant D hajachoma ila mume wake ana O+ vp kuna uhusiano wowote hapo kati ya blood grop yake na mumewe au imetokea tu.

Watoto wake ni rhesus negative pia or? Kama mtt atakuwà ni negative hakuna haja ya ant D kwa mama
 
Wanajamvi kuna kitu nilikisikia lakini sina uhakika nacho, kwamba group la damu la mtoto lazima lifanane na la mtoto.

Je hii ina ukweli au ni maneno tu.
 
Rekebisha kwanza mkuu ila kama ulimaanisha baba na mtoto blood groups zinarithiwa ila kurithiwa kwake humtegemea na mama pia, na sio lazima kama baba ana A mtoto awe na A pia hapana. Kuna vtu vinaitwa antigen ndo vina determine hyo inherritence
 
Angalia chart hii
 

Attachments

  • 1437969897764.jpg
    1437969897764.jpg
    16.6 KB · Views: 275
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom