Blog za kina dada

Blog za kina dada

Raia Fulani

JF-Expert Member
Joined
Mar 12, 2009
Posts
11,866
Reaction score
4,261
so far nimeshaziona na kutembelea mbili. ya Diva wa clouds na Dina wa clouds pia. sijajua kama kuna wengine wana blog zao. kilichonifanya niwaanike ni kuwa hawana jipya. mmoja alirushwa sana kwenye blog ya michuzi kuwa kaanzisha blog, kutembelea ndio hivyo tena. yaani bora wangezungumzia mapenzi-ni ngono tupu! huyu anazungumzia kifo cha mende na huyu anazungumzia ni mwanaume gani celeb wa bongo ungependa ku-do nae! nimegundua wamelalia katika mapenzi kwa vile hakuna nguvu ya ziada kutafuta habari. ningewaona wa maana zaidi kama blog zao zingekuwa na mrengo kama wa kina michuzi, mpoki, ndesanjo na wengine wengi. wanawake badilikeni mje na kitu kipya. mapenzi yapo na hayaishi. kwa staili hiyo tutaendelea kuwaonea huruma tu na 'hamtatoka'
 
Probably ngono and partying and gossiping are the only things they know....
 
Probably ngono and partying and gossiping are the only things they know....

EXACTLY!
lakin i think women were born 'to live this way'
au siyo NYANI?
post zako fupi fupi nazikubali,mara nyingi ZINABEBA UJUMBE MZITO
 
Ndiyo maana nataka kufungua Sex shop Sikonge na Mvumi Mision. Malecela ulisema tunapenda sana Waarabu, sasa nitakuingilieni na mambo ya Kizungu. Sijui Bariadi wataniruhusu? Kyela will be next.
 
EXACTLY!
lakin i think women were born 'to live this way'
au siyo NYANI?
post zako fupi fupi nazikubali,mara nyingi ZINABEBA UJUMBE MZITO

Oh yeah...I think so too. Wewe observe tu hapo ulipo kama huwa unaongea na kina dada. Maongezi yao mengi yako centered kwenye relationships, men, gossip and all that jazz. So hawa female bloggers wana wana akisi (reflect) jamii yao....
 
Kuna blog nyingi tuu mbona za wanawake na hazina habari za hizo ngono.
temembele
8020fashion.blogspot
totalknockout by Teddy Kalonga
fashionjankii by Rose (i forgot her last name)
Swahilitime blog ya chemi chemponda


zote hizo ni blog za mademu na zipo nyingine nyingi tuu.
 
Kuna blog nyingi tuu mbona za wanawake na hazina habari za hizo ngono.
temembele
8020fashion.blogspot
totalknockout by Teddy Kalonga
fashionjankii by Rose (i forgot her last name)
Kuna nyingine ya Chemi chemponda nimesahau blog yake inaitwaje.

zote hizo ni blog za mademu na zipo nyingine nyingi tuu.

Hizo zote nilizozi highlight zina center kwenye mambo ya burudani burudani tu...mambo ambayo yanaendana endana na gossip, ngono, relationships etc
 
Hizo zote nilizozi highlight zina center kwenye mambo ya burudani burudani tu...mambo ambayo yanaendana endana na gossip, ngono, relationships etc

At least ziko based on fashion lakini siyo ngono as stated above.Kumbuka ngono na fashion ni vitu viwili tofauti.
 
At least ziko based on fashion lakini siyo ngono as stated above.Kumbuka ngono na fashion ni vitu viwili tofauti.

Je fashion na madawa ya kulevya? Wakishabugia madawa yao, baada ya show huwa wanagawana, nani leo analala na nani. Hivi vitu viko kama Pua na mdomo. Utaanzia popote ila mwisho inaishia kwenye vifo vya Mende.
 
Ndiyo maana nataka kufungua Sex shop Sikonge na Mvumi Mision. Malecela ulisema tunapenda sana Waarabu, sasa nitakuingilieni na mambo ya Kizungu. Sijui Bariadi wataniruhusu? Kyela will be next.
Wazo zuri sana hilo...
Virutubisho katika ngono hakuna kabisa hapo mtaani na ni muhimu kuwepo ili watu waweze kufurahia ngono vya kutosha.
 
so far nimeshaziona na kutembelea mbili. ya Diva wa clouds na Dina wa clouds pia. sijajua kama kuna wengine wana blog zao. kilichonifanya niwaanike ni kuwa hawana jipya. mmoja alirushwa sana kwenye blog ya michuzi kuwa kaanzisha blog, kutembelea ndio hivyo tena. yaani bora wangezungumzia mapenzi-ni ngono tupu! huyu anazungumzia kifo cha mende na huyu anazungumzia ni mwanaume gani celeb wa bongo ungependa ku-do nae! nimegundua wamelalia katika mapenzi kwa vile hakuna nguvu ya ziada kutafuta habari. ningewaona wa maana zaidi kama blog zao zingekuwa na mrengo kama wa kina michuzi, mpoki, ndesanjo na wengine wengi. wanawake badilikeni mje na kitu kipya. mapenzi yapo na hayaishi. kwa staili hiyo tutaendelea kuwaonea huruma tu na 'hamtatoka'

Mmmeona hiyo highlighted in blue?.Amesema ni "bora wangezumgumzia Mapenzi".Lakini hizi zingine hata word mapenzi hakuna ni fashion tuu kwa kwenda mbele,kama wao ni fashionista unataka waongolee nini?besides fashion ndiyo inafanya kila mtu anapendeza.

Then kuna hii blog ya Chemi che-mponda inaitwa swhailitime kama hujatembelea then jaribu hiyo,huyu mdada blog yake pia mtasema ni fashion based on ngono?.
 
At least ziko based on fashion lakini siyo ngono as stated above.Kumbuka ngono na fashion ni vitu viwili tofauti.

ndio ni vitu viwili tofauti kama ilivyo mtu na kaka yake ambao ni ndugu lakini ni watu wawili tofauti.

hivi unataka kunambia demu aliyevaa ki mini dress kinachoonyesha mapaja na cleavage na mgongo haleti ladha ya kingono ngono akikatiza barabarani?
 
Je fashion na madawa ya kulevya? Wakishabugia madawa yao, baada ya show huwa wanagawana, nani leo analala na nani. Hivi vitu viko kama Pua na mdomo. Utaanzia popote ila mwisho inaishia kwenye vifo vya Mende.

Huko sasa kwenye madawa ya kulebya hata wanaume wanayafanya msianze kwa kuwasema wanawake kama niw ao tuu ndiyo wanayafanya hayo mambo.Utadhani nyie wanaume mko innocent vile.
 
ndio ni vitu viwili tofauti kama ilivyo mtu na kaka yake ambao ni ndugu lakini ni watu wawili tofauti.

hivi unataka kunambia demu aliyevaa ki mini dress kinachoonyesha mapaja na cleavage na mgongo haleti ladha ya kingono ngono akikatiza barabarani?

Hapo unaongelea fashion au unaongelea kuvaa min-skirt na kuonyesha cleverage?.fashion siyo lazima iwe mini-skirt,fashion siyo lazima uonyeshe cleverage.Try to understand the word fashion first.Unataka kuniambia all these designer wanao-design nguo,viatu,purse, nk hao pia wanafikiria ngono wakati wana design?
 
Wazo zuri sana hilo...
Virutubisho katika ngono hakuna kabisa hapo mtaani na ni muhimu kuwepo ili watu waweze kufurahia ngono vya kutosha.


Lakini acheni kuwanyapaa kina dada si wote wanao weka hayo mambo, mfano nilisha ona ile blogu ya Happy Katabazi imekaa vyema tu. Mmbona hata hivo zipo za wanaume wanaweka mambo hayo? Kusema Michuzi huyo ni bahati yake, kabahatisha na mambo yanamwendea vyema! Japo naye haishi kulalamikiwa mara kwa mara!

Ebu tuwapongeze hao kina dada na tuwatie moyo, kama kuna mapungufu tuwasaidie wayarekebishe, badala ya kugenerelise kwamba wanafanya wanayo yafanyaga siku zote wanawake!

Wapo wanaume mabingwa wa shughuli hizo, I guess hata kina braza men, mzee wa ze utamu, si wakaka? mbona nao wanaweka mambo hayo?

Ebu tuwapeni haki yao bwana tuache kuwanyanyapaa na kuwatisha hata wale waliokuwa njiani kuthubutu kufungua za kwao!

By the way, we need diversity, and that is one! siyo wote waweke design za kina michuzi na mjengwa!
 
Jamani mnawaonea kina Dina na Diva, hao ninavyowajua mimi HAWANA KABISA WELEDI (professionalism)! Si mnajua ajira za clouds zinavyotolewa? Sijamwona mweledi (Professional) hata mmoja pale zaidi ya waganga njaa!! Ndo maana gossip na mapenzi vinatawala, mfano huwa hawaangalii maudhui wala hadhala yao wanaporusha vipindi vyao. Ukitaka kuamini hilo sikiliza vipindi vya "Leo tena-10:00 to 12 noon". Juzi saa moja hivi asubuhi kwenye kipindi cha powerbreakfast, mtangaziji G. Hando anatoa mada kwa ajili ya watu kuchangia ati "kutumia kondomu au kutotumia kuna tofauti yoyote kwenye mapenzi" Sasa jiuliza huyu mtangazaji na program manager wake waliangalia aina ya mada, timing, hadhira n.k. kabla ya kurusha hewani upuuzi kama huu???

The likes of Diva na Dina hata upeo wa kawaida tu hawana, nimewahi kukaa na Dina meza moja once nikiwa na business partner, nilijuta. She couldn't fit into our discussions ambayo yalikuwa ni ya kawaida sana!!

Ni hayo tu wakuu!!
 
nyinyi vipi bana mnataka issues za siasa siasa,mafisadi tuu kila kona.nani hapapendi mahali pale?acheni wadada wasasambule,ala!!
 
Huko sasa kwenye madawa ya kulebya hata wanaume wanayafanya msianze kwa kuwasema wanawake kama niw ao tuu ndiyo wanayafanya hayo mambo.Utadhani nyie wanaume mko innocent vile.

Ni kweli. Hata kwenye Ngono, hawa ma-Diva huwa wanaji-do ze jobu wenyewe? Si lazima Ngosha aje hapo awape Ikipinda Nkoi? Nilichotaka kusema ni kuwa hivi vitu viko karibu karibu sana hata kama vina tofauti. Unapoongelea fashion kuna mawili, waonyeshaji na wanao-copy (wavaaji). Sasa hawa waonyeshaji fashion (wanaume kwa wanawake) hufanya hayo. Ila tofauti ni kuwa, wanaume wengi mambo huishia hapo na wengine na mashabiki wao ndiyo huwa wanaanza kuongea sasa.

Anyway si muhimu sana, tuendelee na mjadala.
 
Back
Top Bottom